Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 105
mbona lazima wakae Profesa Jay,Nature,Hamza kalala na Mr 2 proud
Kweli mtu mweusi haaminiki, F.A alikuwa mpambe wakati JD na GADNER wanafunga ndoa, kumbe hakuwa na upendo nao kabisa na sasa anatuonyesha kwamba yeye ni mtu wa aina gani kwa ndani. Nakuchukia mwanafatuma kichiz yan; na ushukuru bongo ndio vile wengine GUN hatujui kwa kuzipata NINGEKUSHUT tu bitch wewe; sipendi kabisa wanaume wenye pigo za KICHOKOCHOKO, unaudhalilisha ule mkoa wenu, watu watajua kweli TANGA kwa kuliwa KISAMVU ndia zenu!!
Sugu kwa hili hajatenda haki, pale nyumbani lounge hapatoshi sehemu ni ndogo sana, mimi nina hamu ya kwenda kuona wakiimba na Jide ile nyimbo ya mambo ya Fedha.