sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Leo Usiku niliamka kama Saa 8 usiki nikawa nasikiliza Radio,
Nikasikia Sugu akamatwa na polisi Huko eneo la Nzovwe Mbeya Kwa kufanya mkutano kinyume cha sheria, Lakini wakaendelea kusema kwamba eti kamatwa yake inatokana na Kitendo chake cha kufanya Onyesho la bure eneo la Luanda Mbeya, huku pembeni yake uwanja wa Sokoine kukifanyika Tamasha La Fiesta linaloendeshwa na Clouds Fm.
Kuna mtu mwenye Data Zaidi?
SOurce: Radio 5
Nikasikia Sugu akamatwa na polisi Huko eneo la Nzovwe Mbeya Kwa kufanya mkutano kinyume cha sheria, Lakini wakaendelea kusema kwamba eti kamatwa yake inatokana na Kitendo chake cha kufanya Onyesho la bure eneo la Luanda Mbeya, huku pembeni yake uwanja wa Sokoine kukifanyika Tamasha La Fiesta linaloendeshwa na Clouds Fm.
Kuna mtu mwenye Data Zaidi?
SOurce: Radio 5