OPTIMISTIC
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 125
- 20
<br />Hata mimi mwenyewe nimeshausikia huo wimbo. Lugha ya matusi aliyotumia inadhihirisha ulimbukeni na ujinga wake tu na hakuna kingine. Mimi nitahakikisha kuwa hautarudi tena bungeni mwaka 2015 kwa njia yoyote ile. Sugu umeshatangaza vita na mimi na nakuhakikishia nitakupoteza bwana mdogo. Hako kaubunge kako ni kacheo kadogo sana na mshahara wako haufikai hata robo ya pato langu la mwezi.
<br />
Jamani poleni. Kutokana na hali ya kiuchumi na ugumu wa maisha watanzania wengi ni wagonjwa na wengine wamejiingiza ktk matumizi ya madawa hatari kikubwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
Mwita unaumwa tafuta tiba najua ni vigumu kuikubali hali halisi. Msh mbunge amejifanyia kazi yake anapendwa na wananchi wake huko Mbeya sasa wewee kanda ya ziwa na kipato chako unachokisifia na mission unayoiplan vinatia mashaka kuhsu afya yako.
Nakutakia tiba njema. We ve competent Drs u will soon get well.