Subira

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,426
Reaction score
829,778
Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....


(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
 
bado sijakupata,ni muziki,shairi,ngonjera au....?
 
naroga tu ..mtaalamu tena ni mimi mwenyewe
Mmh kumbe nimesema leo ni burudani
Unaloga mtu asiyekutaka bro? Heri useme utajipanga upya.

Anyway, bottom line is..usisubiri san!! #tangazaNia
 


Mshana shikamoo
 
bado sijakupata,ni muziki,shairi,ngonjera au....?
Gere mama Gere mamaa....Gere maaama Gere mama wanionea Gere!...watautwanga mtama waulime wenyewe eee....
Nguo ya kuazima haisitiriiii mwiliii.wewe mtu wa mia watakao elfu nnee...dau lako na mia wataka elfu mbilii ...yale nilokwambia sasa yameshatimiaa.....fahari eeh ndio mama wa ujingaa
Gere mama! Gere mama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…