Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Hahahaaaa sawa mkuu nimekusomaKijana anayeendesha ist na kijana anayeendesha Forester..ni watu wawili tofauti kimtazamo..
Wa subaru ana mitazamo ya starehe...wa ist utakuta ana mitazqmo ya maisha ya miaka hamsini ijayo..
Niamini mimi