Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 852
- 1,158
Hello fellow Subaru Fans,
Natumaini andiko langu hili linawakuta mkiwa na afya nzuri na mkiendelea na mapambano ya kutafuta riziki.
Kusudi LA kuanzisha Uzi huu ni kujikita moja kwa moja kwenye kufahamishana yote mazuri na mabaya ya gari aina ya Subaru.
Kujulishana mafundi/garage bora za magari haya zilipo, maduka ya spare parts original na used kwa bei nzuri, how to maximaze car efficiency na mengine mengi.
Wakati sisi tukiichagua Subaru dhidi ya aina nyingine, mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiyaogopa kwa kinachosemwa kuwa zina gharama kubwa za vipuri, zinabugia sana wese, wataalam wa kuyahudumia ni wachache, hebu kupitia Uzi huu tuwape elimu nzuri ili wajaribu kuwa na uthubutu wa kuendesha magari ya ndoto zao.
Aijalishi una Subaru Impreza ama Forester, aijalishi uko nayo kwa sasa ama bado una ndoto ya kumiliki. Ikiwa wewe ni Fan wa Subaru, basi uwanja huu ni wako. Tiririkaaaa mwanawaneee