suarez hatar kaka maana ndo mchezaji pekee dunian kufunga goli 10 ndan ya mwez mmoja hatariii!!
magoli yenyewe dhidi ya cardf,c'palac,na vbnd vngne!y acfunge dhdi ya man u,arsnl,chelsea,man cty na tm kubwa nyngne?pumbv 2 hy hana lolt
Zombi anaonea timu ndogo ndogo tu, hivyo Costa anatisha zaidi.
magoli yenyewe dhidi ya cardf,c'palac,na vbnd vngne!y acfunge dhdi ya man u,arsnl,chelsea,man cty na tm kubwa nyngne?pumbv 2 hy hana lolt
Aseno imeelekeza jicho lake kwa Costa kwa sasa, naamini itamsajili majira haya ya joto ama msimu ujao
Luis Suarez kafunga magoli msimu huu hakuna hata mja aliyofunga kwa Penalt. diego costa Mzuri ila hamfikii suarez na LFC walivyomtaka Diego Costa kwa 26million wengi waliwaona wajinga ila brendan Rogers aliona watu ambacho hawakukiona sasa hivi Diego Costa ni million 40 pound. luis suarez zaidi ya costa amefunga magoli bila suarez bila Penalt moja.Unataka afunge goli la aina gani ili ujue kama El Pistorelo ni mkali? 22 goals on 16 games.Kawafunga stoke leo bao mbili,hao stoke wakimfunga chelsea ambaye alimfunga liverpool.Uzuri wa epl kibonde wako ndio mbabe wa mwenzio.
Mpaka sasa hajashinda goli la penalt,kwanza anafunga timu ya taifa mpaka huku kwenye club.
"Nlikuwepo":bolt:
Nafikiri Arsenal wanaouwezo wakumnunua Diego Costa na wakimpata uwezo wa ubingwa itakuwa mkubwa kwao ila uwezo wa kutompata Atletico madrid nao wanajaribu kuweka history la Liga na yupo CL Pengine Summer watampata ila ukweli Luis Suarez ni mkali. Kafunga Carlton Cole magoli vs big team ila haimaanishi Carlton cole mkali mpira sio game zone zinakubali.Wanauwezo wa kumsajiri costa labda wauze wachezaji wa4