Suala la zawadi katika mahusiano ya kimapenzi

Kujali kwangu ni kihisia zaidi labda niseme sina mazoea ya kutegemea kupata kitu ili nione mtu ananijali.Hata akinijulia hali,hug,busu n.k ni kujali tosha! Naweza niseme ile thought ya kwamba mtu kakununulia kitu ni ishara kwamba alikuwa anakufikiria na huwa anakukumbuka!!!Ila walio wengi wanatumia nafasi hio kama njia ya kujipatia matakwa yao na hii inaenda bothways!!

Few in millions...shikamoo
 
Mi napenda ulete mshahara wako wote tuupangilie. Yaan ntakucare ajab.
 
Kujali kwangu ni kihisia zaidi labda niseme sina mazoea ya kutegemea kupata kitu ili nione mtu ananijali.Hata akinijulia hali,hug,busu n.k ni kujali tosha! Naweza niseme ile thought ya kwamba mtu kakununulia kitu ni ishara kwamba alikuwa anakufikiria na huwa anakukumbuka!!!Ila walio wengi wanatumia nafasi hio kama njia ya kujipatia matakwa yao na hii inaenda bothways!!

Kama mimi vile
 
si kweli wadada tunajari bwana. kwangu mm napenda zawadi coz natoa zawadi.

labda sijapenda? hera unayo nipa kama laki 3 umenipa ujue laki nakupa zawad ukweli mm napenda nguo zaidi.

nikipenda kweli nimependa maana zawad nitatuma had kwa mama mkwe nisiemjua.

Kwani unaanzaje kuomba laki tatu, mdomo wangu huwa mzito sana hapo
 
Back
Top Bottom