Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,883
Kujali kwangu ni kihisia zaidi labda niseme sina mazoea ya kutegemea kupata kitu ili nione mtu ananijali.Hata akinijulia hali,hug,busu n.k ni kujali tosha! Naweza niseme ile thought ya kwamba mtu kakununulia kitu ni ishara kwamba alikuwa anakufikiria na huwa anakukumbuka!!!Ila walio wengi wanatumia nafasi hio kama njia ya kujipatia matakwa yao na hii inaenda bothways!!
Few in millions...shikamoo