Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 904
Hi all.
Jamani, hivi hili suala la kutoa/ kupewa zawadi na mwenzi wako wenzangu mnalionaje, najua hii inategemea zaidi na
hurka ya mtu binafsi. Lakini sio siri jamani most of girls wanapenda sana kujaliwa haswa kwa njia ya kupewa zawadi na wapenzi wao, wapo wengine nao wanamoyo wa kujitoa nao wanaonesha upendo kwa njia hii kwa wanaume wao,
Japo mara nyingi wanawake wanaona hili suala ni la mwanaume zaidi.sasa pale inapotokea mwanaume yeye hayuko cared kwa njia hii ya zawadi, (suprice ya zawadi), hata kama pipi kijiti ya sh. 100.
Kwa mwanamke ni tosha kabisa anaridhika zaidi hata ya kitandani. inakuaje jamani, unakuta unamwambia mpenzi mimi napenda zawadi na nafurahi sana na kukupenda zaidi nionapo unaniletea hata ndizi, apple, hereni, lakini unakuta respond yake ni ndogo kweli, unaweza kuta binti ni kawaida yake ila njemba hadi akumbushwe.
Kuna wanaume wengi wamepoteza wapenzi kwasababu ya hili, jamani kama masihala tu anatokea jamaa yupo cared kwa zawadi za kawaida tu, taratibu mwanamke anavutika na kukuacha umetoa macho. we jaribu tu kuchangamka mara unaenda kukutana nae beba ndizi mbivu au pipi kimtindo ukifika mpe, sio razima ununue gari, utanambia jinsi upendo utakavyomea.
"Tatizo wanaume mnaangalia sex tu, mwanamke ni zaidi ya sex, wenzangu kila siku wanalalama oh! bora ningempata kama wako oh sijui na nini, aa mara nitambwagwa mimi" wanawake wanateseka kitandani hawaridhiki hata hivi vingine hawapati. Mnaojijua badilikeni basi, muone wanawake watakayowafanyia zaidi ailete fimbo.
Jamani, hivi hili suala la kutoa/ kupewa zawadi na mwenzi wako wenzangu mnalionaje, najua hii inategemea zaidi na
hurka ya mtu binafsi. Lakini sio siri jamani most of girls wanapenda sana kujaliwa haswa kwa njia ya kupewa zawadi na wapenzi wao, wapo wengine nao wanamoyo wa kujitoa nao wanaonesha upendo kwa njia hii kwa wanaume wao,
Japo mara nyingi wanawake wanaona hili suala ni la mwanaume zaidi.sasa pale inapotokea mwanaume yeye hayuko cared kwa njia hii ya zawadi, (suprice ya zawadi), hata kama pipi kijiti ya sh. 100.
Kwa mwanamke ni tosha kabisa anaridhika zaidi hata ya kitandani. inakuaje jamani, unakuta unamwambia mpenzi mimi napenda zawadi na nafurahi sana na kukupenda zaidi nionapo unaniletea hata ndizi, apple, hereni, lakini unakuta respond yake ni ndogo kweli, unaweza kuta binti ni kawaida yake ila njemba hadi akumbushwe.
Kuna wanaume wengi wamepoteza wapenzi kwasababu ya hili, jamani kama masihala tu anatokea jamaa yupo cared kwa zawadi za kawaida tu, taratibu mwanamke anavutika na kukuacha umetoa macho. we jaribu tu kuchangamka mara unaenda kukutana nae beba ndizi mbivu au pipi kimtindo ukifika mpe, sio razima ununue gari, utanambia jinsi upendo utakavyomea.
"Tatizo wanaume mnaangalia sex tu, mwanamke ni zaidi ya sex, wenzangu kila siku wanalalama oh! bora ningempata kama wako oh sijui na nini, aa mara nitambwagwa mimi" wanawake wanateseka kitandani hawaridhiki hata hivi vingine hawapati. Mnaojijua badilikeni basi, muone wanawake watakayowafanyia zaidi ailete fimbo.