Freemanson_tz
New Member
- Oct 25, 2021
- 2
- 1
Habari JF
Wiki kadhaa zilizopita Serikali ilianzisha kampeni ya kuhakikisha maeneo yetu yanarejea katika hali nzuri kwa kuhakikisha kuwa wafanyabiashara maarufu kama wamachinga wanawekewa uratatibu mzuri wa kufanya biashara zao huku mazingira yakibaki safi na salama kwa ajili ya matumizi na watu wengine.
Kabla ya kufikiria dhana ya kuwapanga wamachinga ni vizuri kufahamu sifa za machinga; Machinga hasa ni mfanyabiashara wa aina gani ?
1. Mfanyabiashara ambaye hataki kuwa rasmi ili kukwepa taratibu za kodi.
2. Mfanyabiashara ambaye anataka kutumia eneo lolote walipo watu wengi kuuza bidhaa huku akiweza kuhamahama kutokana na kuhama kwa wanunuzi
Hivyo kutokana na sifa hizo, Wapo viongozi waliowaagiza machinga kufanya biashara popote bila kubughudhiwa na hivyo kupelekea kukomaa na kukua kwa kundi hili katika maeneo ya mjini.
Wiki kadhaa zilizopita Serikali ilianzisha kampeni ya kuhakikisha maeneo yetu yanarejea katika hali nzuri kwa kuhakikisha kuwa wafanyabiashara maarufu kama wamachinga wanawekewa uratatibu mzuri wa kufanya biashara zao huku mazingira yakibaki safi na salama kwa ajili ya matumizi na watu wengine.
Kabla ya kufikiria dhana ya kuwapanga wamachinga ni vizuri kufahamu sifa za machinga; Machinga hasa ni mfanyabiashara wa aina gani ?
1. Mfanyabiashara ambaye hataki kuwa rasmi ili kukwepa taratibu za kodi.
2. Mfanyabiashara ambaye anataka kutumia eneo lolote walipo watu wengi kuuza bidhaa huku akiweza kuhamahama kutokana na kuhama kwa wanunuzi
Hivyo kutokana na sifa hizo, Wapo viongozi waliowaagiza machinga kufanya biashara popote bila kubughudhiwa na hivyo kupelekea kukomaa na kukua kwa kundi hili katika maeneo ya mjini.