Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 4,975
- 6,448
Mtakumbuka wiki 2 zilizopita Mheshimiwa Rais alimuagiza Waziri wa Fedha, Bw. Mpango kuwa ashughulikie suala la Airtel na kuhakikishwa inarudishwa kwa shirika la TTCL kabla ya mwaka huu haujaisha.
Sasa yamebaki masaa tu mwaka kuisha, wenye kujua kinachoendelea watujuze jamani
Sasa yamebaki masaa tu mwaka kuisha, wenye kujua kinachoendelea watujuze jamani