kazi ipo mwaka huuSubiri kwanza tuhamie Dodoma bana,haraka ya nini?
Haah haah haah
Subiri watakuja wenyewe na majibu ya kama hutaki acha kazi.Kwa kweli mimi sielewi naomba wadau mnifahamishe kuhusu hili. Naona mshahara uko vile vile na hii ni Julai