Suala la kujifunza kuhusu Mwanamke

Suala la kujifunza kuhusu Mwanamke

huskryderz

Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
27
Reaction score
27
Unapokutana na mwanamke anaongea au kushabikia kauli hii “Chunga sana akili yako mwanamke akikuchoka anakuwa adui" fahamu kuwa huyo kichwani hamna kitu na hafai tu kuwa mke sema Mungu amempatia nyama za kuishi nazo tu.
 
JE, Mnakuwa mmeongea nini Mpaka yeye aseme hivyo? Anakuwa amekupatia taarifa kuwa kakuchoka

Haina maana nimekutana nalo ila ni maneno ambayo wanawake wanapenda sana kutumia siku hizi na mara nyingi ukiona mwanamke anaongea haya ujue tayari mambo yameanza kuwa mengi na wanatafuta justification ya tabia zake.
 
Unamaanisha huyu bwana au
IMG_0129.jpeg
 
Ulitakiwa umchape hata kibao huyo mwanamke kabla hajamaliza kukuchimba mkwara ili siku nyingine asirudie ujinga huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom