Suala la Kofia mbili laibuka tena CCM

Suala la Kofia mbili laibuka tena CCM

Watajuana wenyewe. Mama keshawaambia vitu vyote vitapanda bei.

Tujiandae na kutembea kwenda makazini. Maana kauli nyingine kama kiongozi kuzitoa ni kama kutoa mwanya kwa walanguzi kupandisha bei vitu.

Najua comment yangu ni nje ya mada lakini ndio frustration za maisha tena.
Ni muda wa makampuni kuandaa new price list. Kuna masuala mengine si ya kuongea
 
Hahaaa uchawa nchi hii imekuwa kama laana.

Mtu ana Masters au PhD lakini haamini katika hiyi elimu zaidi ya Uchawa kwanza
1646841300798.png
1646841372735.png
1646841630663.png
 
Haumo mjomba , wewe lipwa elfu 7 ili upige kelele jf
Mimi nakulipa wewe na vijakazi kama wewe 10 kila mwezi bila tatizo lolote. Nilikupa challenge ya kulipa kwenye charity yeyote utakayochagua ulipe milioni 5 mimi nitalipa mara 2 yake.
Ukaingia mtini.Mimi sio level yako.Siishi kwa uchawa kama wewe. Kazi yako kubwa ni kuanzisha mada zisizo na kichwa wala miguu.
 
Watajuana wenyewe. Mama keshawaambia vitu vyote vitapanda bei.

Tujiandae na kutembea kwenda makazini. Maana kauli nyingine kama kiongozi kuzitoa ni kama kutoa mwanya kwa walanguzi kupandisha bei vitu.

Najua comment yangu ni nje ya mada lakini ndio frustration za maisha tena.
Upenyo wa kushusha lawama kwa kushindwa kudhibiti mfumko wa bei. Sasa Putin ndio kisingizio kikuu huku tukilanguliwa.
 
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Sioni tatizo maana hata huko Afrika Kusini. Rais si Mwenyekiti wa chama. Na akiharibu mambo huwajibishwa na chama chake cha ANC.
 
Mimi nakulipa wewe na vijakazi kama wewe 10 kila mwezi bila tatizo lolote. Nilikupa challenge ya kulipa kwenye charity yeyote utakayochagua ulipe milioni 5 mimi nitalipa mara 2 yake.
Ukaingia mtini.Mimi sio level yako.Siishi kwa uchawa kama wewe. Kazi yako kubwa ni kuanzisha mada zisizo na kichwa wala miguu.
Kwi Kwi Kwi !
 
Kama ni kweli basi Mama asikubali, hao wanaolilia kofia mbili kutenganishwa wana lao jambo chini ya kapeti, swala la kujiliza je ni kwa nini iwe sasa ? kuna nini ndani ya CCM.
Ni muhimu sasa kupitia mfano wa Magufuli, Rais asiwe mwenyekiti wa chama
 
Kofia mbili ndio kitanzi cha ccm. Mwenyekiti atakiwi kuwa mwenye nguvu kuliko chama.
 
Tatizo la mishahara kikubwa kwenye siasa ndoo hili!!wasomi wanashindwa kuifanya kazi za taaluma ZAO wanakimbilia siasa!!!Mimi nikiingia ntashusha mishahara ya wanasiasa iwe ya kawaida halafu kada zingine napandisha walau ili usomi uonekane wenye tija kuliko siasa!!
 
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Na hapa ndipo udikteta ndani ya ccm ulipo,ila warekebishe baada ya mama kumaliza muda
 
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Bwashee, wanaccm wanapozungumzia masuala ya chadema huwa mnapenda kuwaambia kuwa hayawahusu kwa kuwa chadema siyo chama chao; sasa wewe mwanachadema mambo ya ccm yanakuhusu nini? Si uwaachie ccm wenyewe watayamaliza!
 
Back
Top Bottom