Suala la Kofia mbili laibuka tena CCM

Suala la Kofia mbili laibuka tena CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,738
Reaction score
284,689
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
 
Taarifa kutoka ccm zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa ccm popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Acha wauane, ndipo waheshimiane
 
Taarifa kutoka ccm zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa ccm popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Ni kweli kofia mbili mtu ni Hakimu lakini ni kada kindaki ndaki na chawa pia
 
Watajuana wenyewe. Mama keshawaambia vitu vyote vitapanda bei.

Tujiandae na kutembea kwenda makazini. Maana kauli nyingine kama kiongozi kuzitoa ni kama kutoa mwanya kwa walanguzi kupandisha bei vitu.

Najua comment yangu ni nje ya mada lakini ndio frustration za maisha tena.
 
Kama ni kweli basi Mama asikubali, hao wanaolilia kofia mbili kutenganishwa wana lao jambo chini ya kapeti, swala la kujiliza je ni kwa nini iwe sasa ? kuna nini ndani ya CCM.
Na kwa nini iwe kipindi cha kikwete?
 
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
Alafu hao hao ccm watapinga hitaji la Katiba Mpya
 
Hayo ya kwenye Chama Chao ni wenyewe na Katiba zao, ingawa mimi kama mwananchi nisiye na Chama kwenye huduma za kijamii sipendi kuona Makada wakifanya hizo kazi sababu badala ya kuhudumia wananchi wanafanya kampeni na kuhudumia chama chao

Mbaya zaidi mimi nakasirika huku kitaa watu wana vipara let alone Kofia hata moja..., Hao waliopo madarakani watengeneze Sera za angalau kila mtu apate hata nuso kofia au ka-leso ka kujifunika kipara chake
 
Taarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani

Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .

Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?

Chanzo : Raia Mwema
sahivi ni uwanja wa fisi
 
Back
Top Bottom