Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,792
- 50,904
Awamu ya 4 ni pacha na 6Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?
Awamu ya 4 ni pacha na 6Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?
Hujauliza weka ?Kama ni kweli basi Mama asikubali, hao wanaolilia kofia mbili kutenganishwa wana lao jambo chini ya kapeti, swala la kujiliza je ni kwa nini iwe sasa ? kuna nini ndani ya CCM.
watenganishe tu.maana hii inazingua.Yamemkuta Mr NdungaiTaarifa kutoka CCM zinadokeza kwamba katika maandalizi ya chaguzi za ndani yameibuka mapendekezo kwamba Mtu mmoja hapaswi kuwa na vyeo viwili , kwa mfano huwezi kuwa RC halafu ukawa kiongozi wa chama , au ukawa Mbunge halafu uwe tena Mwenyekiti wa CCM popote wilayani au mkoani
Bali kisichofahamika ni iwapo suala hilo litamgusa hadi mwenyekiti wa Taifa au la .
Haya mambo yaliwahi kuibuliwa na kuzimwa wakati wa awamu ya 4 , Je safari hii yatawezekana ?
Chanzo : Raia Mwema
Unaandika kama haupo duniani!.Kama ni kweli basi Mama asikubali, hao wanaolilia kofia mbili kutenganishwa wana lao jambo chini ya kapeti, swala la kujiliza je ni kwa nini iwe sasa ? kuna nini ndani ya CCM.
Ohoooo !!!Unaandika kama haupo duniani!.
Kila jambo na wakati wake.
Kwani ulipata kufikiri Rais wa Tanzania atafariki akiwa madarakani ila si katika wakati ambao hukujua?.
Kwa nini muda wa kuolewa/kuoa unafika na unalazimika kufanya hivyo?, why usifanyiwe ukiwa hujui ukija kuwa na akili timamu ukute mambo ni muswano!.
Na BiM mwenyewe hakujuq atachukua nafasi hii aliyopo maana hapo nyuma ilikuwa aondoke but wakamsihi so, kila jambo na wakati wake, huwezi fahamu ni sasa au baadaye.
noma !Balaaa