Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Hamza Msomali ni mwanachama mtiifu wa CCM, hicho chama chenu ni chama cha kigaidi.
 
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Hamza alikuwa kada kindakindaki wa ccm kama ilivyo kawaida wapinzani wanatetea haki za watanzania wote wakiwemo wanaccm wanaonewa.
 
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
NIJUAVYO MM ,KWA KUTUMIA KUFIKIRIA BEYOND THE BOX,KUNA MAMBO MAWILI YA KUFIKIRIA KWA MAKINI :MOJA ,HAMZA ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI.UGONJWA ULIKUWA UNAANZA NA KUPOTEA.SWALI .NANI ALIMPA PISTO WAKATI NI MGONJWA WA AKILI?MBILI:HAMZA ANAONEKANA ANAJUA KUTUMIA SIRAHA PROFESSIONALLY.JE ALIPOKWENDA MISIRI ALIFUNDISHWA?TATU .KWANINI HAMZA BAADA YA KUWAUA ASKARI WAWILI,HAKWENDA KITUO CHA POLISI KUWAUA ASKARI WENGINE?KWANINI ALIKUWA ANADAI KWAMBA WAISLAM WANAONEWA NA POLISI NA SI MADAI YA KUIBIWA DHAHABU ,AMBAYO SISI WANASIASA NA WANAHARAKATI UCHWARA TUNAONGEA BILA USHAHID?MWISHO NIWAAMBIE,HAMZA ALITEGEMEA UBALOZI WA UFARANSA WAMSAIDIE ,NA AWE MKIMBIZI.NDIO MAANA ALIKIMBILIA PALE.HAMZA ALIKUWA MGONJWA WA AKILI NA PIA GAIDI .
 
Hamza ameondoka duniani kwa njia ya mbaya sana na ya kusikitisha
Tujifunze kuwasaidia ndugu zetu kwa kuwajengea afya ya akili wakiwa hai
Inaonekana afya ya akili ya marehemu Hamza ilikuwa ya ajabu sana.Inawachagua polisi tuu na kuwaacha raia waendelee na shughuli zao.
 
Turudi kwenye hao askari wako watanzania unaosema;

● Mbona askari wakitu bambikiza kesi hamuongei?

● Askari wamekua wote wanachama wa chama cha siasa, wanachama wa CCM, mbona hamuongei?

● Wakituomba rushwa mnasema ni hela za kusafishia viatu?

● Wakitu bambikiza makosa barabarani mnasema nchi haina hela kwaajili ya miradi?

● Wakipiga watu na kujeruhi bila sababu mnasema ndio kazi yao?

● Mnajitapa kwenye mikutano ya hadhara kwamba askari polisi wa CCM hawakosi risasi zaidi ya mbili, wakikosa basi hao sio askari?

● Wakipigana risasi na kuuwana wao kwa wao kwa kugombania siti ya mbele kwenye gari, mnasema walikua wanakimbiza wauza madawa ya kulevya?
Hamza anaungwa mkono na wazalendo, wengi amba hawakufurahishwa na ushiriki wa tanpol katika matendo yao maovu dhidi ya raia sema,
 
Ungekuwa na uchungu ungeenda kuwakinga na risasi kwa kukaa katikati ya hamza na police
 
Inavyoonekana siyo wapinzani tu lakini ni pamoja na baadhi ya watu wenye mlengo wa udini.
 
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.

mimi ni mtanzania nisie na chama tena mzarendo lakini namuunga mkono Hamza( haki huinua taifa)
 
hao wanajua wameshakataliwa na jamii,kitu wananchofanya ni kumwaga mboga kwa hasira.

kama unakumbuka shida ilianza siku JPM amefariki,wakidhani wako mbio za vijiti na wananchi kumbe wako peke yao.

hao polisi marehem na majeruhi wana ndugu,marafiki,wapenzi,jamaa na majirani.2025 utasikia tumepirwa kura,utumbo wanaoufanya saa hizi hawauoni.
 
Inavyoonekana siyo wapinzani tu lakini ni pamoja na baadhi ya watu wenye mlengo wa udini.

Kuna watu wananuona Jamaa Eti shujaa sababu kaua makafiri?!
Umeelewa vibaya kuhusu kuua makafiri, hapana, haipo hivyo.

Katika uislamu, mja akidhulumiwa haki yake, kabla hajaenda kumlilia mola wake anatakiwa kwanza apambane mwenyewe kuipigania hiyo haki. Akishindwa ndo akamlilie mola.

Na kama akiuawa wakati akipigania haki iliyo yake huyo ni peponi. Lakini pia kama akiuawa wakati akipigania DINI huyo ni pepo ya DARAJA LA KWANZA KABISA (firdaus)

Hivyo ushujaa wa Hamza sio kuhusu makafiri, bali ni namna 'alivyoonekana kupigania' HAKI yake, maana hakuwa na kisasi na RAIA yeyote!!
 
Umeelewa vibaya kuhusu kuua makafiri, hapana, haipo hivyo.

Katika uislamu, mja akidhulumiwa haki yake, kabla hajaenda kumlilia mola wake anatakiwa kwanza apambane mwenyewe kuipigania hiyo haki. Akishindwa ndo akamlilie mola.

Na kama akiuawa wakati akipigania haki iliyo yake huyo ni peponi. Lakini pia kama akiuawa wakati akipigania DINI huyo ni pepo ya DARAJA LA KWANZA KABISA (firdaus)

Hivyo ushujaa wa Hamza sio kuhusu makafiri, bali ni namna 'alivyoonekana kupigania' HAKI yake, maana hakuwa na kisasi na RAIA yeyote!!


Ni kama umekubaliana na mimi kile nilichokiandika isipokuwa hilo eneo dogo tu la makafiri lakini kwa ujumla umeafikiana nami.
 
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Unakosea sana kumsema shujaa halisi, acheni kubambika watu kesi.
 
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.

Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.

Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?

Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.

Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.

Kwamba?

"Hii ni aibu na najisi kwa nchi."

Hauna haja ya kujua hii najisi imeanzia wapi? Bila kuutambua mzizi wa fitina unakotokea unaweza kutwanga sana maji.

Angalizo: Hamza hakubeba bunduki na kuanza kushambulia watu. Huyu alibeba bunduki kushambulia wabaya wake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom