Suala la bandari, wenye Mamlaka someni Mithali 11: 14

Suala la bandari, wenye Mamlaka someni Mithali 11: 14

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2023
Posts
929
Reaction score
1,310
Wadau nawasabahi. Niwaombe Viongozi wetu wasome Kitabu cha Mithali Kifungu cha 11 Mstari wa 14 ili suala la Bandari yetu lipate baraka za Mungu.

Kifungu hicho kinasomeka ifuatavyo
'Pasipo Mashauri Taifa huanguka, Bali kwa Wingi wa Washauri huja Wokovu'

Mkataba wa Bandari, Wananchi wote tushauriane ili Taifa letu lisimame kwani Uwingi wetu katika Mashauri Taifa litapata wokovu.
 
كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ وَهُوَ كُرْهٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تَكْرَهُوا شَيْئًا وَهُوَ خَيْرٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تُحِبُّوا شَيْئًا وَهُوَ شَرٌّ لَّكُمْ ۗ وَاللَّهُ يَعْلَمُ وَأَنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ

(AL - BAQARA - 216)
Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
 
كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ وَهُوَ كُرْهٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تَكْرَهُوا شَيْئًا وَهُوَ خَيْرٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تُحِبُّوا شَيْئًا وَهُوَ شَرٌّ لَّكُمْ ۗ وَاللَّهُ يَعْلَمُ وَأَنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ

(AL - BAQARA - 216)
Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
Putin anapelekewa moto
 
Wadau nawasabahi.Niwaombe Viongozi wetu WASOME Kitabu cha MITHALI Kifungu cha 11 Mstari wa 14 ili suala la BANDARI YETU lipate BARAKA ZA MUNGU.
Kifungu hicho kinasomeka ifuatavyo
'"Pasipo Mashauri Taifa huanguka ,Bali kwa Wingi wa Washauri huja Wokovu'"
Mkataba wa Bandari Wananchi wote Tushauriane ili TAIFA letu lisimame kwani Uwingi wetu ktk Mashauri TAIFA litapata WOKOVU.
Sisi wenye mamlaka tumeamua, na hakibadiliki kitu kwenye maamuzi yetu
 
Wadau nawasabahi.Niwaombe Viongozi wetu WASOME Kitabu cha MITHALI Kifungu cha 11 Mstari wa 14 ili suala la BANDARI YETU lipate BARAKA ZA MUNGU.
Kifungu hicho kinasomeka ifuatavyo
'"Pasipo Mashauri Taifa huanguka ,Bali kwa Wingi wa Washauri huja Wokovu'"
Mkataba wa Bandari Wananchi wote Tushauriane ili TAIFA letu lisimame kwani Uwingi wetu ktk Mashauri TAIFA litapata WOKOVU.
Ni nan aliekwambia mwanasiasa au mtawala wa kidunia anaogopa au ana hofu na neno la MUNGU?
 
Back
Top Bottom