Hayo maneno yakikubwa mno kwakeTunavyosema mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja,hatumaanishi mwanaume ajali wanawake wa nje aache kutimiza mahitaji ya familia yake
Baba yako aliendekeza chini akatelekeza familia
Wewe bado mdogo na bado unajifunza,
Miaka 10 ijayo utagundua tunachokisema sasa
Dogo wewe ni mwanaume. So usimalize maneno hapa.Jamaa kakupa maneno mazito sana tena ya kiume,kaa ujitafakari ktk kauli zako kwasababu usije baada ya Miaka sita mbele ukaja na kisanga chako hapa nasi km Allah atakuwa amejaalia kuishi tukakurudi kwenye huu uzi waokuna mahala nimesema mama alikuwa na ghubu mkuu sikatai kama alikuwa nalo maana mimi sifahamu nianchosema kutetea mwanaume aliyeko kwenye ndoa anatetea uovu wa kusaliti ndoa kwa kisingizio cha kutokuridhika na mwanamke mmoja sio sawa mkuu