SUA mtatuua, mbona hamtupi boom?

SUA mtatuua, mbona hamtupi boom?

kioo93

Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
38
Reaction score
19
Yapita sasa wiki tatu na wengine wiki NNE bila boom wengine hatujaona maina ya kusaini ilihali vyuo vingine mambo ni poa. Huku kwetu vipi tumekopa hadi basi. Saidieni kutufikishia ujumbe majuu au kama kuna viongozi wa serikali humu embu watuangalie na sisi
 
Sijui itakuaje mwez huu ukiisha bila boom, mana sua yenyewe n shida halafu huwe hauna boom. Itakuwa vzur kama uongozi wa sua ukikifanyia kazi suala hili.
 
dah aise me mwenyew npo huku mazimbu hata dalil ya kuxaini hakuna,yan vyet vye2 vpo rehan kwa wauza mxox;
 
SUA is among of best universities
Elimu kwanza boom baadaye sanaaa
Msichoke kuomba kila usiku na mchana.......thanks dear Gambe tulimaliza salama, pigeni gambe kama demu tafuta mboga saba, Fanya mishe mishe jombaaa zisake daily kesha MLTs haaaa....ukizipata tesaaa sanaaa kula nyama na bia gongeni cheers........

Gongeni cheers mchana na usiku kama watoto wa mafisadi.........
SUA+MZUMBE=UTAMU

Pata bumu unielewe ......
 
dah yani Sua kero,wamesaini wachache na bado hawajapewa mkopo,
 
Ukiona mna sign ujue pesa isha ingia ktk account ya shule hapo kuna figisu figusu tu huenda pesa zenu wanazfanyia biashara zao
 
SUA is among of best universities
Elimu kwanza boom baadaye sanaaa
Msichoke kuomba kila usiku na mchana.......thanks dear Gambe tulimaliza salama, pigeni gambe kama demu tafuta mboga saba, Fanya mishe mishe jombaaa zisake daily kesha MLTs haaaa....ukizipata tesaaa sanaaa kula nyama na bia gongeni cheers........

Gongeni cheers mchana na usiku kama watoto wa mafisadi.........
SUA+MZUMBE=UTAMU

Pata bumu unielewe ......
MSUASO mambo Vp wawe wavumilivu hata tulikuwa hatuulizagi likija muda wowote poa tu ila usiache kusoma kisa boom wao hawajui Hilo wasikukamate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom