sasa mkuu,kama co uchokozi ni nin,maelezo ya thread na kudesa kwe2 wana udsm kunahusika nin hapo,au unatafutwa ku2kanwa 2 ndo uone raha??acha hzo bana..SUA ni moja ya vyuo bora kabisa hapa Bongo na hata Afrika Mashariki. Kazeni uzi mpandishe chati zaidi chuo chenu.Nawatakia kila la heri katika mitihani yenu. Angalieni msije mkatumia madesa kwa wingi kama pale UDSM halafu mkakamatwa na kuachishwa chuo. Kumbuka 'It is risky to enter the examination room with a 'desa' but it is more risky to enter the examination room without a 'desa'.Kazi ni kwenu!
ha ha ha ha ha ha ha kaka mimi nacheka sana kuhusu desa usiwasahau wataalam wa kujilipua aka Mvomero university ila nakumbuka SUA kuna SIMBI if im not mistaken zote zina lengo lilelile ha ha ha ha haSUA ni moja ya vyuo bora kabisa hapa Bongo na hata Afrika Mashariki. Kazeni uzi mpandishe chati zaidi chuo chenu.Nawatakia kila la heri katika mitihani yenu. Angalieni msije mkatumia madesa kwa wingi kama pale UDSM halafu mkakamatwa na kuachishwa chuo. Kumbuka 'It is risky to enter the examination room with a 'desa' but it is more risky to enter the examination room without a 'desa'.Kazi ni kwenu!
we nawe,sa wachagueje masomo na wkt wao waliisha chaguliwa na serikal kusomea mizizi na udongo.kila la kheri vijana. pambaneni, bt next semester mchague masomo yatakayowawezesha kujiajiri ama kuchakachua hela za chama. mitaani pagumu sana