Style za waendao Vyuo

Your inane insane insinuations impounding incomprehensible impartartion on my irrevocably insignificant incatenation is invariably ignoble if not irredeemably ignorant. Of Increasing importance, your ill-equipped issues intend to in-corrigibly and inescapably instill the indiscipline of inflated ingenious irresponsibility and inauthentic innovation.

Kwi kwi kwi kwi kwi............Duuuhh....Mkuu....no doubt you are "Pundit"
 
Your inane insane insinuations impounding incomprehensible impartartion on my irrevocably insignificant incatenation is invariably ignoble if not irredeemably ignorant. Of Increasing importance, your ill-equipped issues intend to in-corrigibly and inescapably instill the indiscipline of inflated ingenious irresponsibility and inauthentic innovation.


mkuu lazima utakuwa umesoma mzumbe kwa mujibu wa haka kautani...hahahahah!
huyu mwandishi staki hata kumzungumzia,doh!
 
dear all,
1: Maskini, waoga na washamba-sua
2: Matajiri, wajanja na wenye akili-mzumbe
3: Wenye akili chache, wavivu, matozi na masista duu-cbe dar
4: Malaya, wasanii, wauza sura na wasiojiweza kiakili-ifm
5: Upeo mdogo, wapenda sifa na watoto wa mama-tumaini university
6: Wazalendo wenye asili ya arusha na moshi-muccobs
7: Wapenda ofa duni za serikali-tia
8: Waliokosa vyuo kabisa-rucco
9: Mafundi-dit, st joseph
10: Wapenda dezo na wamekosa nafasi udsm-udom
11: Wasiojali future-saut, ustawi wa jamii, mwl nyerere, magogoni, uhazili tabora, cbe dodoma
12: Wenye uwezo wa kipesa na kiakili but walifeli form 4 na 6-iaa
13: Wanaosoma sana but silent-st john, kcmc, bugando, muhas
14: Wasiofahamu umuhimu wa elimu-chuo cha mipango dom, zanzibar university, moro muslimu, nyuki tabora
15: Wakujitolea na future duni-duce, muce, kigurunyembe, nk
16: Wasiojali nchi, mamluki-abroad
17: Watu wa sifa zote hapo juu za kila aina-university of dar es salaam.
mbona bado kuna vyuo kama mwenge university,makurumila,arusha university huja wa-rank?au ndo umepigia book huko? Salamu zako mjomba!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu aliyeanzisha hii mada lazima ni "dogo "mwenye upeo mdogo wa kufikiri.unatukana wano admit wanafunzi vyuoni , waziri wa elimu na wizara nzima wanao control mfumo wa elimu,wazazi wanaolea watoto vibaya,uchumi wa nchi unaoifanya serikali kushindwa kutoa huduma za jamii kama elimu ?sorry to say lkn aliyeanzisha hii either ana upeo mdogo.hii forum inapungukiwa watu sababu za kuonekana kama genge la kutemea pumba.tunamuomba administrator uanze uataratibu wa kutoa wale wote watemao pumba ndani ya forum.utakimbiwa
 
Huyu aliyeanzisha hii mada lazima ni "dogo "mwenye upeo mdogo wa kufikiri.unatukana wano admit wanafunzi vyuoni , waziri wa elimu na wizara nzima wanao control mfumo wa elimu,wazazi wanaolea watoto vibaya,uchumi wa nchi unaoifanya serikali kushindwa kutoa huduma za jamii kama elimu ?sorry to say lkn aliyeanzisha hii either ana upeo mdogo.hii forum inapungukiwa watu sababu za kuonekana kama genge la kutemea pumba.tunamuomba administrator uanze uataratibu wa kutoa wale wote watemao pumba ndani ya forum.utakimbiwa
wewe ndio mwenye upeo mdogo wa kufikiri uliyeshindwa kujua kuwa upo katika jukwaa la utani na udaku! kama upo serious na kudiscuss mustakabali wa elimu yetu tukutane jukwaa la elimu, anzisha mada zenye akili nasi tutachangia mkuu!
 
wewe ndio mwenye upeo mdogo wa kufikiri uliyeshindwa kujua kuwa upo katika jukwaa la utani na udaku! Kama upo serious na kudiscuss mustakabali wa elimu yetu tukutane jukwaa la elimu, anzisha mada zenye akili nasi tutachangia mkuu!

mkuu hako ka-avatar kako kanachekesha sana!!.
 
Huyu aliyeanzisha hii mada lazima ni "dogo "mwenye upeo mdogo wa kufikiri.unatukana wano admit wanafunzi vyuoni , waziri wa elimu na wizara nzima wanao control mfumo wa elimu,wazazi wanaolea watoto vibaya,uchumi wa nchi unaoifanya serikali kushindwa kutoa huduma za jamii kama elimu ?sorry to say lkn aliyeanzisha hii either ana upeo mdogo.hii forum inapungukiwa watu sababu za kuonekana kama genge la kutemea pumba.tunamuomba administrator uanze uataratibu wa kutoa wale wote watemao pumba ndani ya forum.utakimbiwa

Lazima utakuwa umesoma CBE. Unabisha?
 
This was of the worse contribution we have ever shared. Sijui mwenzetu amesoma kweli na wapi.....nahisi ulikosomea panatisha kulingana na vigezo ulivyotumia. Huwezi kusema upuuzi kwa chuo kama SUA.....unajua wanafanya nini na ubora wa graduate wao?
Kudadadeki Kichwa chako
 
Wakuu totoz za DUCE zimetulia, zina body nzuri sana lakini nahisi kichwani na mfuniko(wengi wao) hazipo sana.
 
Yake inachekesha ila yako imetia fora bana!

hapana mkuu, yangu ya kawaida tu mazee!!.
icon10.gif
 
Back
Top Bottom