Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 867
- Thread starter
- #61
heheheheheee
ukifanikiwa hii uje uniambie hapahapa
kaa kwenye kiti cha chuma kama vile vya mashuleni (hasa sekondari za serikali) chini yake weka tofali la moto au makaa yenye moto yawe kwenye jiko la mkaa ili kiti kipate moto. Ukiwa huna nguo weka taulo nene kwenye kiti hicho na ukae kwa nusu saa kabla hujaanza hiyo gegedo yako. Kisha ukishahamasika kuwa chama cha mapinduzi kiko imara juu basi muite bibi mtoa maji ya sukari ashuhulike na hiyo ndizi iliyokatwa kwenye kichwa kama ilivo kwenye avatar yako.
ONYO: usitingishike hata midadi ikikupata hilo joto hapo chini litakupa nafuu ya kiuno wakati kibibi akihaha kupump bomba litoe maji.
Hope sijawaharibu ambao bado hawajabalehe na kuvunja kinu
Afu wewe unaonekana ni mkorofi sana