Students with loans but subjected to veryfication

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Aug 11, 2012
5,745
2,338
Habari zenyu binafsi bana wa jf!samahani kama mada hipo jukwaani tayari lkn by the tym na post ckuiona!tcu wametupia majina ya watu waliokuwa selected na loans zao pia na majina ya watu wenye loan lkn inabidi wafanye veryfication!
 
gbrother ukifatilia waliowekwa pale ni yatima wasiokuwa na wazazi kabisa maanake both mama na baba wamekufa
 
Last edited by a moderator:
gbrother ukifatilia waliowekwa pale ni yatima wasiokuwa na wazazi kabisa maanake both mama na baba wamekufa

unajua maana ya previous loanee mkuu?me nijuavyo ni watu ambao wamewah kupewa mkopo bt wamechaguliwa tena na tcu kusoma bachelor program ndo maana nahc hata heslb watakua wamewaambia wafanye verifications.
 
Last edited by a moderator:
Sor kaka,wanaotakiwa kuverify wapo wangap kwa idadi yao?!mi pia nlsoma chuo flan mwaka jana
 
Ndio kaka nliomba!

me nilivyockia ni kwamba,watu wote waliowah kusoma vyuo kipindi cha nyuma na wameapply tena via Tcu regardless wameomba mkopo tena or not wamewekwa kwenye hli kundi na wamepewa siku 14 kuverify kwa heslb.
 
Back
Top Bottom