Well kuna kitu kimenijia kichwani baada ya kusoma analysis ya AshaDii (Sweetie) na mchango wa The Boss na NN.
Kuna suala zima la utamaduni...ambao niseme unabeba kila kitu chetu kama jamii..kuanzia malezi, kazi, tabia...kila kitu kinafanyika kwa utamaduni wetu ulivyo
Ndiyo maana tunapozungumzia malezi ya watoto na kupendana hatuwezi kukwepa utamaduni wetu ulivyo (msingi wa hija ya The Boss) na jinsi ambavyo tungependa iwe (labda kutokana na tamaduni za wengine)
Kwanza, wazazi wetu enzi hizo (na hata sasa) walikuwa na ndoa za mitala, kama walivyosema wengine. Katika hali hii, ni vigumu sana kuwapata watoto wote ndani ya nyumba moja. Kinachotokea mara nyingi ni watoto kuelelewa tofauti kwenye nyumba tofauti na wote tunajua kuwa kila nyumba ina namna na aina yake ya malezi. hawa watoto wa waliolelewa kwenye nyumba tofauti lakini wakiwa na baba/mama mmoja, inaweza kuathiri sana upendo wao baadaye...kwa vile wanajisikia kama wageni miongoni mwao zaidi (kuliko kati yao). La kustaajabisha, unweza pia kukuta mzazi mmoja anampenda zaidi mtoto wa mke mwingine kuliko mke fulani, hivyo kuimarisha dhana kwamba mzazi kumpenda mtoto fulani kuliko mwingine haina uhusiano wa moja kwa moja na ukaaji wa pamoja wa wazazi hao
Pili niseme kwamba kwa siku hizi, ujio wa shule hizi za binafsi ambao watoto wanatumia muda mwingi wakiwa huko, na zaidi hasa zile za kulala, kuna mchango mkubwa katika kupunguza ukaribu kati ya mtoto na mzazi. Upande mmoja, kuna haja ya watoto kupata elimu 'nzuri na ya kisasa', na upande mwingine kuna kuwekeana umbali kati ya mzazi na mtoto, ambao baada ya muda unapunguza ukaribu na huenda mapenzi yale ambayo mtoto angependa kuyaiga na kuyapata kutoka kwa wazazi.
Tatu, kama tunazungumzia suala la watoto kwa mfano kukaa nyumba moja na wazazi wao wote wawili, hili nalo pia linazidi kuwa gumu kutokana na ugumu wa maisha ambao wakati mwingine unalazimisha wazazi kutengana kwa muda kwa sababu ya kazi au masomo, hivyo kwa wakati fulani watoto wanakosa upendo wa wazazi wote wawili. Cha kusikitisha pia, pale ambapo wanakuwepo wawili, unaweza kukuta ndiyo yale watoto kuambulia baba akimpiga mama na sio kuwaona wakiwa wawili kwa upendo!
Niharakishe kusema sina suluhisho la haraka la hii migongano ninayoiona hapa...labda tunavyozidi kujadili, tutaweza kupata suluhiho au njia bora zaidi ya malezi ambayo itawawezesha wanetu kupendana miongoni mwao na kati yetu na wao zaidi.
Wifi King... now this is what I am talking about!!! Unaona the way red ina shabihiana vizuri na blue?? Pamoja na kusema kua some of you were spoiled in the family.... Family comes First! Putting Kupendana as the 11 Commandment was a really big infuluence kwa nyie kama watoto kuelewa kua kuwa karibu na kujaliana ni lazima... Labda nikuulize; how has your family turned out?? Yaani if the parents wasingeweka hio effort do you believe ingekua tofauti?? Na if you don't mind how did you feel when young (acha saizi you have grown and understand) kuona kama your sis alikua kama anapendwa zaidi??
Your wish is my command... na unajua the way i like it kids wakikutana na wangu... inawajengea kuzoeana na kujaliana huko mbeleni... Sio watoto wanakua ndugu jina but do not understand each other.... Lile ghorofa bado niko kumshawishi kakako tuishi sie kagusia kua kapata kampuni inataka kukodi.... I am kind of Mad....lol... (makabila mengine bana!)
Mfano kama huu wa ukweli nilikuwa nimeupost kwenye thread nyingine. Nani alaumiwe hapa? Wazazi, watoto wenyewe, jamii au mazingira? Wazazi wa Mario Balotelli (mchezaji wa Manchester City) had asked the social services for help with their son because of their cramped living conditions, though still mtu unaweza kuuliza why did they decide to have him in the first place if they were living in a cramped conditions.
So, at the age of three he was fostered by Francesco and Silvia Balotelli, a well off white family. As the Balotelli's reputation as a footballer grew his biological parents parents asked for him back. Mario later said that his parents only wanted him back because he had become famous and described them as "glory hunters" stating that they only wanted him back because of the prominence he had gained.
But if you go back, as an infant Balotelli had life-threatening complications with his intestines which led to a series of operations. His health problems and the family's cramped living conditions meant his parents decided to ask for the help of social services who recommended that Mario be fostered.
Now inside Thomas and Rose Barwuah's (biological parents) flat, photographs of their family adorn the walls. There are pictures of their four children - Abigail, 23, Mario, 20, Enoch, 18, and Angel, 12.
But it is Mario who takes centre stage. There are photos of him as a baby and then a toddler growing up, kicking a football, in a suit at a family party and play-fighting with brother Enoch as Rose (his biological mother) looks on. But Mario is no longer a Barwuah (biological father's surname). He has taken the surname of his adopted family, Balotelli.
However, Mario was never officially adopted but made a conscious decision to turn his back on his Ghanaian heritage. He took the surname of his adopted parents and represented Italy's Under 21 side. Mario now doesn't even want to meet his siblings. Nani alaumiwe?
Biological father (left) and Mario with his proud foster parents (right)
Now Mario doesn't even want to meet his biological siblings. Hapa akiwa na ndugu zake wakati bado wakiwa wadogo
Dada mkubwa uko sahihi kbs, wazazi wengi huwa hawawezi kuficha hisia zao za kumpenda mtoto mmoja zaidi ya wengine,japo sijawa na familia km hivyo but nafurahi kwani wazai wetu walimudu kubance mapenzi yao kwetu na imekuwa matokeo mazuri kwetu kwani we real love each other,naomba nikiri najifunza mambo mengi sana kwenye sred zako,yani huwa unaongelea mambo ninayopenda kujifunza na kuyajua,thx.
ADii
,mnt sure how deep you*intended*the thread to go ...*
but it contains very important aspects ... ulishajiuliza ... jinsi ambavyo wazazi can*polarize*the feminine or*masculine energy in the Kinds... and you know what can be the results...?
Mtoto wa kiume hates ... Masculinity ... cause Dad is more into mtoto wa kike... au mtoto wa kike hates femininity cause one reason or onather she hates mom..!
These are facts ... sasa niambie ... nini matokeo ya hii mbeleni ..
Mfano kama huu wa ukweli nilikuwa nimeupost kwenye thread nyingine. Nani alaumiwe hapa? Wazazi, watoto wenyewe, jamii au mazingira? Wazazi wa Mario Balotelli (mchezaji wa Manchester City) had asked the social services for help with their son because of their cramped living conditions, though still mtu unaweza kuuliza why did they decide to have him in the first place if they were living in a cramped conditions.
So, at the age of three he was fostered by Francesco and Silvia Balotelli, a well off white family. As the Balotelli's reputation as a footballer grew his biological parents parents asked for him back. Mario later said that his parents only wanted him back because he had become famous and described them as "glory hunters" stating that they only wanted him back because of the prominence he had gained.
But if you go back, as an infant Balotelli had life-threatening complications with his intestines which led to a series of operations. His health problems and the family's cramped living conditions meant his parents decided to ask for the help of social services who recommended that Mario be fostered.
Now inside Thomas and Rose Barwuah's (biological parents) flat, photographs of their family adorn the walls. There are pictures of their four children - Abigail, 23, Mario, 20, Enoch, 18, and Angel, 12.
But it is Mario who takes centre stage. There are photos of him as a baby and then a toddler growing up, kicking a football, in a suit at a family party and play-fighting with brother Enoch as Rose (his biological mother) looks on. But Mario is no longer a Barwuah (biological father's surname). He has taken the surname of his adopted family, Balotelli.
However, Mario was never officially adopted but made a conscious decision to turn his back on his Ghanaian heritage. He took the surname of his adopted parents and represented Italy's Under 21 side. Mario now doesn't even want to meet his siblings. Nani alaumiwe?
Biological father (left) and Mario with his proud foster parents (right)
wifi, sorry i took this long kujibu (im ok now,back to addictions,lol).
family turned out fairly well i can say. we love, we get upset, we cry, and we love again. kuna issue ya kutoa opinions bt nt making decisions for anyone. and in the end, whatever mess u ar in, u run back to family and we try to avoid the '..told u so..' part. it was nt such a big deal kwa dada kupendelewa kidizaini lakini niseme tu nadhani imamuathiri yeye binafsi zaidi kuliko sie ambao hatukupendelewa. she was used to having everything her way and now has to face the rude fact that the whole world doesnt care abt ur feelings (ukiona jidada ziiima linaface issues na kulia 'i wish mom was still alive' unajua kuna shida hapa..) lakini msingi wa upendo uko pale pale, tunampenda na kumsaidia mawazo na faraja tuwezavyo, japokua strongly and firmly where needed. manake u cant be a spoile brat at 30+yrs of age, au sio? i believe wazazi wasingeweka hiyo juhudi then mambo yangekua tofauti na magumu. in the end fedha na mali hazina maana kama huna watu wanaokupenda na kukujali wewe na sio vyako.
huyo kaka yangu saa ingine inabidi ufinye maskio wifi. ukimuendekeza mtakodisha hadi vitanda mlalel chini baada ya kuoga valuer,lol:A S embarassed:
Hapa AJ umeongelea kitu cha maana saana... The way mtoto wa kiume in most cases anapendwa saana na mamake na the way mtoto wa kike ni more a dads gal... Sometimes for the female side it is worse for some daughters tend to always fight with their moms and see their moms as enemies.... Sijui ni kwa nini hii mara nyingi hutokea; but when a gal grows up she finally come in terms with her mother...
Thou ningependa nijue hio ya femininity Vs Masculinity.... when you say hating... are you suggesting hating ones self as being male or female... OR hating the parent??