Miaka Ile kambi ilikua Tanga, Kwahio naweza kwenda Mwanga, nakumbuka niliondoka Tanga saa nane mchana nikaenda Makambako Iringa miaka Ile, dah!! Sijawahi kumpiga wala kumnunia mtu.
Au sometimes natafuta hotel nzuri saaaana naenda kukaa hapo for a night or two, nilishalala De Francee Hotel Kipindi kile na mara ya mwisho ilikua Landmark Hotel ya Mbezi Wakati ni mpya, two nights Hahahahah