barakaglory
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 481
- 474
Hahahahahaa mtatuua jaman*...... Boyfriend wako akiwa anakupa mizawadi kedekede unasema MAHABA*
*Lakini kaka yako akifanya hivyo kwa mkewe unasema LIMBWATA*
*Hivi wadada aliyewaruhusu kuvuta bangi nani?*