STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

MAPENZI NI MATAMU ILA ACHA KIHEREHERE..

Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake.

Jamaa mmoja alikuwa na demu wake ambaye alikuwa anamjali sana kwa kila kitu. Yule demu alikuwa kila anachotaka jamaa anatoa. Kwa ufupi jmaa alikuwa anamjali sana demu wake.

Siku moja kama kawaida jamaa aliamka asubuhi na kuchukua simu yake kisha akampigia mpenzi wake wa moyo.

Jamaa: Mambo baby umeamkaje?
Demu: Siko poa sana…
Jamaa: Nini mbaya mpenzi?
Demu: Nina mimba halafu sikupanga iwe sasa!
Jamaa: Khaaa! Mbona tulikuwa tunatumia kinga umepataje?
Demu: Kani nani kasema ya kwako?

Hivi navyooongea jamaa kakimbizwa Muhimbili kazimia kwa mshtuko! Kweli mapenzi ni matamu! Ungekuwa wewe ungefanyaje aisee?
Hahahaha!! Kwel vitu vingine sio vyakukulupukia....
 
Hii hata haichekeshi wala kufurahisha maana hukujua unachokiandika...unapozungumzia swaumu unagusa IMANI ya watu zaidi ya milioni 20 so jicheki na kauli zako

Huu mwandiko tu unaonesha wazi kabxaa wewe ni
KHAMSA SALAWAT SITA DHULUMAT
 
*BANGI SIO CHAI*
Jamaa mmoja kaenda kuchota maji bombani akakuta akina mama wamejazana akawaza njia yakuwadanganya ili achote maji haraka; akawaambia nyie akina mama kuna watu wanagawa nyama barabarani ng'ombe kagongwa na gari. Wale akina mama wote wakimbilia huko kupata mgao wa nyama. Jamaa naye akafikiria kisha akaanza kuwafuata eti: haiwezekani wote wale wakimbilie huko inaweza ikawa kweli,nisije kosa nyama bure
Hahaha
Nimeona jini kwenye bongo movie linavuka barabara baada ya kuangalia kushoto na kulia.Kumbe majini nayo yanaogopa magari?
 
Dawa ya kiburi, jeuri tu.

*Mke:* Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
*Mume:* kitu gani unaweza niletea wewe?
*Mke:* we omba Alafu utaona.
*Mume:* Niletee msichana wa kizungu.
*Mke:* (mke akaenda London na kurudi)
*Mume:* zawadi yangu iko wapi?
*Mke*: Subiri ndani ya miezi 9!!!!


*Pia Wamama hawapendi ujinga*
Duh kari
 
*BANGI SIO CHAI*
Jamaa mmoja kaenda kuchota maji bombani akakuta akina mama wamejazana akawaza njia yakuwadanganya ili achote maji haraka; akawaambia nyie akina mama kuna watu wanagawa nyama barabarani ng'ombe kagongwa na gari. Wale akina mama wote wakimbilia huko kupata mgao wa nyama. Jamaa naye akafikiria kisha akaanza kuwafuata eti: haiwezekani wote wale wakimbilie huko inaweza ikawa kweli,nisije kosa nyama bure
 
Mtoto kaingia chumbani kwa mama yake ghafla vaaap.
Mama: we Mtoto pumbav sana.... kwa nini unaingia chumbani kwangu bila kupiga hodi??
Mtoto : kwani tatizo nini mama???
Mama : je ukinikuta niko UCHI?
Mtoto: siwez kukukuta uko uchi.
Mama : kwa nini isiwezekane na wakati unajua hapa ni chumbani???
Mtoto: kabla sijaingia huwa nachungulia kwanza kwenye kitobo Cha ufunguo. Nikikukutaga uko uchi huwa siingii.
Shit
 
*Nawapenda sana wanawake wa uswahili kwa ubunifu wao.Hivi n baadhi ya vicheko walivyocheka kwenye miaka tofauti.*
2002 to 2004-walikuwa wanacheka "hehehe haloooo"
2005 to 2007-wakaja na "heheheee utajijuuu"
2008 to 2010-wakaleta hii ya "heheheee unalooo"
2010 to 2012-wakaleta "hehehe utajibebaaa"
2012 to 2014-wakaja na "heheheee kaoge"
2014 to 2015-safari hii hapa wakacheka "hehehe chezea mie wewe"
2016 -Hpa ss ndo wamekuja na "...heheheee KANTANGAZEEE.."
2017-Wamekuja na hii hapa hehehee wareree,wapi nyonyo
Je unahisi 2018 watabuni style gani ya kucheka

_Acha niende ivi narudi..._
Hahahaha watakuja na walelee
 
Wanawake banaaaa... Tusaidie Baaba

Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu?

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

MUME: Basi yaishe endelea kulala

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
MUME:Jamani mi sijasema hilo
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Yani nimecheka sana duh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom