Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,044
- 74,448
Muda wote utakuwa mtu wa kuhisi hisi kuibiwa tuUkimiliki zigo hilo ni shidaa hata kazi ufanyi
Muda wote utakuwa mtu wa kuhisi hisi kuibiwa tuUkimiliki zigo hilo ni shidaa hata kazi ufanyi
Hahaa haha,maan huu mboga ni hatari lazima uwende 0713Muda wote utakuwa mtu wa kuhisi hisi kuibiwa tu
Hapana aiseeHahaa haha,maan huu mboga ni hatari lazima uwende 0713
Hapana aisee
Kilitokea nnJamaa alikuwa na mkewe wakitalii mbuga za wanyama, ghafla wakamuona swala (gazelle) akikimbizwa na duma (cheetah).
Basi mke akamuambia mumewe "tupinge akikamatwa swala nasoma msg zako za WhatsApp, na asipo kamatwa milele sintasoma"! Angalia kilichotokea hapo!
LolkazidiiMchungaji: Pepo toka
Pepo akajibu: stoki
Mchungaji: Toka kwa jina la Yesu
Pepo: Stoki
Mchungaji: Nimesema toka kwa jina la Yesu
Pepo: Nimetumwa nije nikae kwa mtu huyu ili kesho aokote milioni 100.
Mchungaji kusikia hivyo akasema "Nimesema
toka uniingie mimi"
waumini:Aaaa.
CHEZEA PESA WEYE.♂♂♂♂♂♂
watoto wa mwendo kasiMtoto: Baba mie naenda kulala
BABA: Kunywa kabisa maji hyo tabia yako ya kuita mtu akuletee maji ya kunywa chumbani sitaki kuisikia
MTOTO : Baba mie sina kiu leo
BABA: We haya ila Leo ntakukomesha tabia yako!
******Baada ya dakika kadhaa*****
MTOTO; Anaita Babaaa babaaa we babaaa
BABA: nn wewe na makelele yako?
MTOTO: Niletee maji ya kunywa
BABA: Nilikuambiaje? Si ulijifanya husikii kiu sasa nikija huko nakuja kukuchapa
MTOTO: Ukija kunichapa uje na maji ya kunywa!
Mi nkirud na kadet mpya mbna haniuliziMke wako anarudi nyumbani kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unakalia kusema waooo waoooo kama king'ora cha ambulance.
Shauri yako we endelea kusema waoooo waooo na atakuwa wao kweli