Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
- Thread starter
- #21
Strategist/s wa Lissu a/wa/mempotosha kweri kweri kwa kumfanya ang'ang'anie Kanda ya Ziwa. Matokeo yake, atakosa kura za Kanda nyingine maana watahisi hawana umuhimu kwake na atazikosa za Kanda ya Ziwa pia maana sisi tuliishamchagua JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (JIWE)!!!!!!
Kanda zote amefika, tena mara mbili. Kimbinu, ukiacha mapungufu machache, CHADEMA wanafanya vizuri sana ukizingatia vizingiti walivyowekewa na jicho kali linalowaangalia.
Inaonyesha walifanya maandalizi mengi kimya kimya, ndiyo maana tunashangaa umati wa watu wanaojitokeza kila sehemu tena bila kutangaziwa na media kubwa.