Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,718
- 830,771
Ule mradi wa mabasi yaendeyo haraka kwenye njia yake maalum sasa unaingia hatua ya tatu
Hatua ya kwanza ilikuwa Mbezi-Ferry, imekamilika kwa zaidi ya asilimia 90
Hatua ya pili ilikuwa Morocco-Magomeni nayo iko mbioni kukamilika
Hatua ya tatu Fire/Bakhresa-Gerezani inaanza mara baada tu ya mapumziko ya Pasaka
Kote huko mradi ulikopita hakuna tena parking za kando ya barabara na barabara za kuchepuka nyingi zimekufa,sasa ujenzi ndio unanza Bakhresa-Gerezani maegesho yote yaliyokuwepo kandoni mwa barabara ya msimbazi hayatakuwepo tena!!! Hivyo wenye magari na ofisi zao waliokuwa wanategemea zile parking waanze kukuna vichwa kuhusu maegesho! Serikali kupitia jiji sidhani kana wana mipango yoyote kuhusu hili
Hatua ya kwanza ilikuwa Mbezi-Ferry, imekamilika kwa zaidi ya asilimia 90
Hatua ya pili ilikuwa Morocco-Magomeni nayo iko mbioni kukamilika
Hatua ya tatu Fire/Bakhresa-Gerezani inaanza mara baada tu ya mapumziko ya Pasaka
Kote huko mradi ulikopita hakuna tena parking za kando ya barabara na barabara za kuchepuka nyingi zimekufa,sasa ujenzi ndio unanza Bakhresa-Gerezani maegesho yote yaliyokuwepo kandoni mwa barabara ya msimbazi hayatakuwepo tena!!! Hivyo wenye magari na ofisi zao waliokuwa wanategemea zile parking waanze kukuna vichwa kuhusu maegesho! Serikali kupitia jiji sidhani kana wana mipango yoyote kuhusu hili