Jamani tusiwe wepesi wa kulaumu hii kampuni iko njema sana. Kumwaga zege hadi likauke sio kazi ya siku moja wala mbili na ukumbuke kabla ya kuweka hilo zege kuna Landscaping kubwa sana imefanyika.
Nakumbuka ujenzi wa Sam Nujoma ulilalamikiwa sana huku walalamikaji wakizisifia kampuni zilizokua zinajenga Shekilango na Kilwa roads. Leo hii nenda kajionee tofauti ya roads hizo.
Nadhani tuweni nasubiri sometimes
Nakubaliana na maelezo na mtazamo wako. Ukijipa nafasi kutaka kujua nani anapaswa kufanya yale yanayowakwamisha na kuwasababisha kutofanya kazi katika siku na muda waliopanga utagundua siyo wao bali Mteja wao. Nimebahatika kuona kazi za hawa jamaa tofauti na hii ya Dar-Moro Rd kiukweli zimetulia na hazina walakini wala ubabaishaji. Ni wazoefu sana katika miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu. Kama hapa kwetu inakuwa au kuonekana hivyo tuangalie vizuri na tutabaini tatizo haliko kwao na wala si sehemu ya kazi yao kulitatua hilo tatizo.
Kuna habari hapa chini mpya ambayo imechukua nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari vinavyotoa taarifa za sekta ya Ujenzi Ulaya. Sidhani kama itakuwa na athari zozote kwenye utendaji wao wa huu mradi wa Tanzania?!
According to a press release of the Austrian construction firm STRABAG, its CEO, Hans Peter Haselsteiner resigned yesterday.
The CEO of STRABAG, Dr. Hans Peter Haselsteiner, tendered his resignation from the management board of the publicly listed construction company effective with the end of the 2013 Annual General Meeting. It is his intention to continue to support the management board as an authorised representative in matters concerning the group's internationalisation and strategic orientation. After discussion, the supervisory board accepted the resignation of Hans Peter Haselsteiner effective with the end of the Annual General Meeting on 14 June 2013.
Dr. Thomas Birtel, Deputy CEO, was appointed as new CEO by the supervisory board at the same meeting. Dr. Alfred Gusenbauer, chairman of the STRABAG SE supervisory board: "On behalf of all employees and the supervisory board, I am grateful that Hans Peter Haselsteiner will remain with the company in another function. We believe that Thomas Birtel, who has been with the group for nearly twenty years, is perfectly prepared to continue to successfully shape STRABAG's future." STRABAG SE will hold its financial press conference on 30 April 2013 at 10:00 a.m. at the group headquarters in Vienna. Source:
STRABAG