Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 856
- 1,726
nae ni zofle anakaaje na hyo ela ndani kwanza anapokeaje malipo kwa cash....Kuna mzee mmoja wa kichaga alikua anakaa ilala,alikua anauza Nissan Patrol yake 15M,wale madalali wakaleta mteja wa 25M ilikua saa 6 mzee wa kichaga akawanyima cha juu,ilipofika saa 10 jioni wakavamiwa na majambazi wakachukua yote 25M,ila hawakumuua mzee wa kichaga