Story za mkeo/mpenz wa ndoa

sakapal

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
1,804
1,424
Morning every one!! I salute you all, SALUTE!!!

Ni hivi , leo nina swali kwa wanaume hasa waliooa au walio kwenye mahusiano na mwanamke kwa muda mrefu, tafadhali naomba mueleze ukweli ili kunisaida mimi na hata wadada wengine wenye shida kama hii.

Niko na mahabat wangu, tunatabia ya kuondoka wote home kwenda kazini na kurudi pamoja kwa kutumia kabajaji ketu si unajua bongo usafiriwa shida? Na hii imekuwa ikitupa nafasi ya kuongea mambo mengi njiani na tukifika home ni kuangalia watoto kuoga na kulala. Sasa shida iko hivi, mimi napenda sana kuongea na hili analijua utakuta ile nimeingia tu kwenye gari naanza story sometimes za kuchekesha, sometimes za ofisini yaliyojiri ofisini kwetu siku nzima, leo nani kafanyaje, nani kaambiwa nn na bosi, mkutano leo ulikuwaje, na sometime hata siri za ofisi au mikakati ya ofisi yetu namtaarifu nikijua ni maongezi tu looh. Sijui anakuwa anachoka kusikiliza au hapendi tena sauti yangu yaani utakuta unaongea in btw hata hujamaliza anaongeza sauti ya redio like ninyamaze. Unakaa kimya baada ya muda unaanzisha story ingine heee! unashangaa anakuuliza kitu kingine tofauti labda nilikuwa nasimulia kuhusu habari ya watoto utasikia tuu wale mafundi walimaliza jana uliwalipa hela yao yote looh! nachokaje?
Baada ya kuona shida inazidi na sipati nafasi nzuri ya kusikilizwa nikaona bora nikae kimya na tuwe wote mabubu njia nzima toka mjini hadi home yaani napata shida.
SWALI;- Hivi kwa nini wanaume hampendi kusikiliza masimulizi ya wake zenu? hii hata kijana mmoja hapa ofisini nilishamsikia akiongea kwamba kunarafiki yake ameoa mwaka jana ila ukifika muda wa kwenda kwake hatamani coz anawaza jinsi ya kusikiliza story za mke wake za siku nzima na mkewe huyo anataka mumewe amsikilize hadi amalize. To me huyu kijana anaboreka na hizi story na amechoka kuzisikiliza, sasa kwa nini nyie wanaume msiwaambie wazi wake zenu kwamba usipige story zako za kutwa nzima? au mwambie kwa upole tu pls nimechoka leo naomba tuongee asubuhi au hata ukamwambia nasikia kichwa kinauma reserve the rest for tomorrow huyu mwanamke atakuwa in good place ya kukuelewa that u need a space ila isiwe kila siku. A u hata ukamsikiliza tu then akimaliza yule mwanamke anafurah basi na wewe unaendelea na mambo yako. Naomba niwaibie siri nyie wanaume...,
Sikilizeni wake zenu, hii ni kitu ndogo na ya kijinga but ni kubwa na ya muhimu sana hasa kwa wanawake yaani kama mm hapa naugulia coz sisikilizwi story zangu naishia kujikuta naongea mwenyewe na mbaya zaidi kunawakati anakwambia njoo tuongelee kitandani wakati wa kulala akishapata tunda lake ukirudi kuoga unamkuta anakoroma sometimes unamkuta macho but unaanza story ukijastuka mwenzio alishalala saa nyingi, inaudhi kweli muwe mnatuambia kwamba usiongee baby ninausingizi sana.
Mie napenda sana kuimba hata sometimes unaskia kero kumuimbia coz ukiimba anaona kama unampigia kelele yaani wanaume naomba mnisaidie shida ni nini?
Hampendi story? je ni story za kipuuzi? mbona hamsemi? maudhiiiiiiiiii??

Ever remaining,
Sakapal
 
Unapoamua kuwa na mtu ni muhimu kuangalia compatibility na interests. Kuna wanaume wako well rounded na wanaweza kuongelea karibu chochote. Kuna wengine kama si mpira au masumbwi utawaboa tu.

Mie naamini mpenzi/ rafiki mzuri kabisa ni yule mnayeweza kuongea chochote.

Halafu mtu kama mlianza kwa kuweza kuongea chochote, akabadilika inaweza kuwa ni ishara ya kukuchoka, mapenzi yameisha unakuwa karma a dreaded chore. Inawezekana ndo maana unaona mazungumzo yake yanazungukia the necessities tu kama malipo ya mafundi etc.

Wanaume, mwanamke hapewi tunu ya vito na ufundi wa mbinde za uwanjani tu, bali hata kwa nyama tamu ya ulimi. Msifie bila ya kuwa mpambe isivyo, mazungumzo ya kina yanajenga mahusiano mema na ni kuni za kuchochea moto wa mapenzi.

Mie mtu asiyeongea simuwezi, maana naona kama ana wasiwasi wa kunieleza anachofikiri. Mwanamke anayeongea, hususan anayejua kujieleza, ndiye anayetakiwa dunia ya leo.
 
Duh! Mi nilitaka kutia neno lakini nikasita....nikadhani labda umeamua kucheza sarakasi za isimu.

Ulikuwa unasubiri kutangaziwa zawadi ya atakaeweza kufumbua fumbo lililoandikwa

I was far ahead of you

karma= kama
Kuwait=kuwa

:A S tongue:
 
Freaking different Droid. Nimeibadili settings. Na ku edit post.

Thank you very much.

Ungeacha tukachangamsha bongo kidogo....

Nilifanya makengeza kujaribu kuona neno ndani ya neno

:redface:
 
Ulikuwa unasubiri kutangaziwa zawadi ya atakaeweza kufumbua fumbo lililoandikwa

I was far ahead of you

karma= kama
Kuwait=kuwa

:A S tongue:

Wanagenzi wanagenzi na watribu watribu, hawafungamani.
 
Nafikiri pia kuna utofauti wa aina za stori ambazo wanaume wanazipenda na zingine ambazo wanawake wanazipenda. Hii saa nyingine ni kama nature. Mwanamke hupenda kusimulia matukio yanayohusu watu zaidi, mwenendo wa maisha ya watu, mahusiano, yaliyotokea ofisini, majirani, marafiki, sherehe nk. Kwa wanaume wengi hupenda kuzungumzia vitu, mipango, ubunifu, ujenzi, mafundi nk hata kwenye wakati wa starehe na wakibadilisha labda mpira na aina za magari! Hizi saikolojia ni za ajabu sana, kwa mfano mtu anaweza kupita na gari mbele ya mwanamke na mwanaume. Mwanamke ataangalia ndani ya gari ili aone ni nani anaendesha na yupo na nani, amevaaje nk. Upande wa mwanaume ataangalia model ya gari, ukubwa wa injini nk!

Katika hali ya kawaida kwenye mahusiano ni vyema ujifunza interest za mwenzi wako. Ni vyema mwanaume ujue mkeo anapenda nini na mke kujua mwanaume anapenda nini. Hii inasaidia kujua nini cha kuongea ambacho kinaweza kuwaweka sawa na kujikuta mnafurahia mazungumzo. Chukulia mfano, mwanaume akimpa lift mdada anayemfahamu, mazungumzo ya ndani ya gari mara nyingi hujaa na vicheko, utani na furaha, jiulize ni kwa nini? Ni vyema mazungumzo kama haya kudumishwa kwenye mahusiano ya kindoa ili kuondoa hali ya mtu kumbore mwenzake.
 
Nafikiri pia kuna utofauti wa aina za stori ambazo wanaume wanazipenda na zingine ambazo wanawake wanazipenda. Hii saa nyingine ni kama nature. Mwanamke hupenda kusimulia matukio yanayohusu watu zaidi, mwenendo wa maisha ya watu, mahusiano, yaliyotokea ofisini, majirani, marafiki, sherehe nk. Kwa wanaume wengi hupenda kuzungumzia vitu, mipango, ubunifu, ujenzi, mafundi nk hata kwenye wakati wa starehe na wakibadilisha labda mpira na aina za magari! Hizi saikolojia ni za ajabu sana, kwa mfano mtu anaweza kupita na gari mbele ya mwanamke na mwanaume. Mwanamke ataangalia ndani ya gari ili aone ni nani anaendesha na yupo na nani, amevaaje nk. Upande wa mwanaume ataangalia model ya gari, ukubwa wa injini nk!

Katika hali ya kawaida kwenye mahusiano ni vyema ujifunza interest za mwenzi wako. Ni vyema mwanaume ujue mkeo anapenda nini na mke kujua mwanaume anapenda nini. Hii inasaidia kujua nini cha kuongea ambacho kinaweza kuwaweka sawa na kujikuta mnafurahia mazungumzo. Chukulia mfano, mwanaume akimpa lift mdada anayemfahamu, mazungumzo ya ndani ya gari mara nyingi hujaa na vicheko, utani na furaha, jiulize ni kwa nini? Ni vyema mazungumzo kama haya kudumishwa kwenye mahusiano ya kindoa ili kuondoa hali ya mtu kumbore mwenzake.

Hii habari ya wanawake wako hivi na wanaume wako hivi.

Another sweeping generalization.
 
Morning every one!! I salute you all, SALUTE!!!

Ni hivi , leo nina swali kwa wanaume hasa waliooa au walio kwenye mahusiano na mwanamke kwa muda mrefu, tafadhali naomba mueleze ukweli ili kunisaida mimi na hata wadada wengine wenye shida kama hii.

Niko na mahabat wangu, tunatabia ya kuondoka wote home kwenda kazini na kurudi pamoja kwa kutumia kabajaji ketu si unajua bongo usafiriwa shida? Na hii imekuwa ikitupa nafasi ya kuongea mambo mengi njiani na tukifika home ni kuangalia watoto kuoga na kulala. Sasa shida iko hivi, mimi napenda sana kuongea na hili analijua utakuta ile nimeingia tu kwenye gari naanza story sometimes za kuchekesha, sometimes za ofisini yaliyojiri ofisini kwetu siku nzima, leo nani kafanyaje, nani kaambiwa nn na bosi, mkutano leo ulikuwaje, na sometime hata siri za ofisi au mikakati ya ofisi yetu namtaarifu nikijua ni maongezi tu looh. Sijui anakuwa anachoka kusikiliza au hapendi tena sauti yangu yaani utakuta unaongea in btw hata hujamaliza anaongeza sauti ya redio like ninyamaze. Unakaa kimya baada ya muda unaanzisha story ingine heee! unashangaa anakuuliza kitu kingine tofauti labda nilikuwa nasimulia kuhusu habari ya watoto utasikia tuu wale mafundi walimaliza jana uliwalipa hela yao yote looh! nachokaje?
Baada ya kuona shida inazidi na sipati nafasi nzuri ya kusikilizwa nikaona bora nikae kimya na tuwe wote mabubu njia nzima toka mjini hadi home yaani napata shida.
SWALI;- Hivi kwa nini wanaume hampendi kusikiliza masimulizi ya wake zenu? hii hata kijana mmoja hapa ofisini nilishamsikia akiongea kwamba kunarafiki yake ameoa mwaka jana ila ukifika muda wa kwenda kwake hatamani coz anawaza jinsi ya kusikiliza story za mke wake za siku nzima na mkewe huyo anataka mumewe amsikilize hadi amalize. To me huyu kijana anaboreka na hizi story na amechoka kuzisikiliza, sasa kwa nini nyie wanaume msiwaambie wazi wake zenu kwamba usipige story zako za kutwa nzima? au mwambie kwa upole tu pls nimechoka leo naomba tuongee asubuhi au hata ukamwambia nasikia kichwa kinauma reserve the rest for tomorrow huyu mwanamke atakuwa in good place ya kukuelewa that u need a space ila isiwe kila siku. A u hata ukamsikiliza tu then akimaliza yule mwanamke anafurah basi na wewe unaendelea na mambo yako. Naomba niwaibie siri nyie wanaume...,
Sikilizeni wake zenu, hii ni kitu ndogo na ya kijinga but ni kubwa na ya muhimu sana hasa kwa wanawake yaani kama mm hapa naugulia coz sisikilizwi story zangu naishia kujikuta naongea mwenyewe na mbaya zaidi kunawakati anakwambia njoo tuongelee kitandani wakati wa kulala akishapata tunda lake ukirudi kuoga unamkuta anakoroma sometimes unamkuta macho but unaanza story ukijastuka mwenzio alishalala saa nyingi, inaudhi kweli muwe mnatuambia kwamba usiongee baby ninausingizi sana.
Mie napenda sana kuimba hata sometimes unaskia kero kumuimbia coz ukiimba anaona kama unampigia kelele yaani wanaume naomba mnisaidie shida ni nini?
Hampendi story? je ni story za kipuuzi? mbona hamsemi? maudhiiiiiiiiii??

Ever remaining,
Sakapal

Pole Saka ,njoo nikusikilize mwayego .
 
Hebu jichunguze na story zako.may be zinaboa kweli.Usitafute kumrekebisha mwenzio jirekebishe wewe kwanza.Kama hicho kitu hakipendi si uache kufanya tafuta kile anapenda???? utapungukiwa nini?
 
Talking is Gud kwa kweli,
Kimtazamo mi nadhani ingebaki tu average talking, muwe na uwezo kwa kukaa kimya pia mkiwa wawili. siyo kila mkikutana mnaongea. Ujue ukiwa muongeaji sana there is a good chance kwamba utaongea na vingine ambavyo siyo
Mfano
1)Kusengenya-(i hate this-I hate talking about others while I am with my wife).
2)Kuudhiana-Increasing chances za mumeo kudisagree na opinions zako.
3)Kuondoa element ya surprise. Like ukifanya kitu mumeo anajua ulisema utafanya.
4)And last but not least kuharibu quality ya ur time together...If u bore him then he wont be looking foward to your time together(Pretty hard to embrace, Isn't it?)

Mi namshukuru Mungu my wife huongea kawaida na hanishikii bango nimsikilize...but then sijawahi kuchoka kumsikiliza
 
Na mjaribu saa ingine kuja na story za kuongeza kipato ili familia imee sio mastori ya harusin na maofisini mwenu tu kila siku bana yaaani uje na say mpango wa biashara na jinsi ya operationalization mimi ntakusikiliza kila siku hata wa manane ila ya Mke; Honey nikwambie kitu..........
Mume; Enheee........
Mke; Jana ofisini ile kikao yooote mpaka jioni ile tukatoka secretary na bosi tumewaacha ofisin ana inasemekana wana uhusiano wa kimapenzi
Mume; Bad Habit.........
Mke; Inauma sanaaa

At Home......
Mke; Mume wangu
Mume; Naam......
Mke; Hivi unajua this weekend ndo ile send-off
Mume;Owk....ntakupeleka then ukiwa tayari ntakufuata mke wangu.....
Mke; Sasa utakuta kwenye send-off watu huwa wanajikandika mipoda kama wachawi yaani mi sipendagi...........
Mume; Ngrrrrrrrrrrrrrrr.........................ngrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr kalala zamaaaaani as mistory yako inaboa saaaaanaaaaaaa na ni non-constructive

Tafakari................chukua hatua
 
Guys it may not mean that all women and men are like that (Ni kweli kuna wanaume hawapendi mpira wala hawachagui gari) but it is a generalization that will give you somewhere to begin.

Hii habari ya wanawake wako hivi na wanaume wako hivi.

Another sweeping generalization.

HorsePower

Unadhani wanawake wote na wanaume wote wako hivyo ulivyoeleza?
 
Kwa mfano dada @sakapal, I'm your husband, tuko garini - unanipigia story zako na wadada wenzio wa kazini,umemaliza unaanza kilichojiri harusini kwa fulani, kisha fulani na mumewe then mara dada huyu kaachana na mpenziwe.
Kwa kweli I wont stand hearing you talking all the way!
na ukianza story za kitchen party I will kick you out of the car!
 
Hebu jichunguze na story zako.may be zinaboa kweli.Usitafute kumrekebisha mwenzio jirekebishe wewe kwanza.Kama hicho kitu hakipendi si uache kufanya tafuta kile anapenda???? utapungukiwa nini?

Wanawake wote wakiwa hivi mfumodume hauishi kamwe.

Mwanamke ni lazima abadilike kumfuata mwanamme, hata kama mwanmme ni an antisocial jerk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom