sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Morning every one!! I salute you all, SALUTE!!!
Ni hivi , leo nina swali kwa wanaume hasa waliooa au walio kwenye mahusiano na mwanamke kwa muda mrefu, tafadhali naomba mueleze ukweli ili kunisaida mimi na hata wadada wengine wenye shida kama hii.
Niko na mahabat wangu, tunatabia ya kuondoka wote home kwenda kazini na kurudi pamoja kwa kutumia kabajaji ketu si unajua bongo usafiriwa shida? Na hii imekuwa ikitupa nafasi ya kuongea mambo mengi njiani na tukifika home ni kuangalia watoto kuoga na kulala. Sasa shida iko hivi, mimi napenda sana kuongea na hili analijua utakuta ile nimeingia tu kwenye gari naanza story sometimes za kuchekesha, sometimes za ofisini yaliyojiri ofisini kwetu siku nzima, leo nani kafanyaje, nani kaambiwa nn na bosi, mkutano leo ulikuwaje, na sometime hata siri za ofisi au mikakati ya ofisi yetu namtaarifu nikijua ni maongezi tu looh. Sijui anakuwa anachoka kusikiliza au hapendi tena sauti yangu yaani utakuta unaongea in btw hata hujamaliza anaongeza sauti ya redio like ninyamaze. Unakaa kimya baada ya muda unaanzisha story ingine heee! unashangaa anakuuliza kitu kingine tofauti labda nilikuwa nasimulia kuhusu habari ya watoto utasikia tuu wale mafundi walimaliza jana uliwalipa hela yao yote looh! nachokaje?
Baada ya kuona shida inazidi na sipati nafasi nzuri ya kusikilizwa nikaona bora nikae kimya na tuwe wote mabubu njia nzima toka mjini hadi home yaani napata shida.
SWALI;- Hivi kwa nini wanaume hampendi kusikiliza masimulizi ya wake zenu? hii hata kijana mmoja hapa ofisini nilishamsikia akiongea kwamba kunarafiki yake ameoa mwaka jana ila ukifika muda wa kwenda kwake hatamani coz anawaza jinsi ya kusikiliza story za mke wake za siku nzima na mkewe huyo anataka mumewe amsikilize hadi amalize. To me huyu kijana anaboreka na hizi story na amechoka kuzisikiliza, sasa kwa nini nyie wanaume msiwaambie wazi wake zenu kwamba usipige story zako za kutwa nzima? au mwambie kwa upole tu pls nimechoka leo naomba tuongee asubuhi au hata ukamwambia nasikia kichwa kinauma reserve the rest for tomorrow huyu mwanamke atakuwa in good place ya kukuelewa that u need a space ila isiwe kila siku. A u hata ukamsikiliza tu then akimaliza yule mwanamke anafurah basi na wewe unaendelea na mambo yako. Naomba niwaibie siri nyie wanaume...,
Sikilizeni wake zenu, hii ni kitu ndogo na ya kijinga but ni kubwa na ya muhimu sana hasa kwa wanawake yaani kama mm hapa naugulia coz sisikilizwi story zangu naishia kujikuta naongea mwenyewe na mbaya zaidi kunawakati anakwambia njoo tuongelee kitandani wakati wa kulala akishapata tunda lake ukirudi kuoga unamkuta anakoroma sometimes unamkuta macho but unaanza story ukijastuka mwenzio alishalala saa nyingi, inaudhi kweli muwe mnatuambia kwamba usiongee baby ninausingizi sana.
Mie napenda sana kuimba hata sometimes unaskia kero kumuimbia coz ukiimba anaona kama unampigia kelele yaani wanaume naomba mnisaidie shida ni nini?
Hampendi story? je ni story za kipuuzi? mbona hamsemi? maudhiiiiiiiiii??
Ever remaining,
Sakapal
Ni hivi , leo nina swali kwa wanaume hasa waliooa au walio kwenye mahusiano na mwanamke kwa muda mrefu, tafadhali naomba mueleze ukweli ili kunisaida mimi na hata wadada wengine wenye shida kama hii.
Niko na mahabat wangu, tunatabia ya kuondoka wote home kwenda kazini na kurudi pamoja kwa kutumia kabajaji ketu si unajua bongo usafiriwa shida? Na hii imekuwa ikitupa nafasi ya kuongea mambo mengi njiani na tukifika home ni kuangalia watoto kuoga na kulala. Sasa shida iko hivi, mimi napenda sana kuongea na hili analijua utakuta ile nimeingia tu kwenye gari naanza story sometimes za kuchekesha, sometimes za ofisini yaliyojiri ofisini kwetu siku nzima, leo nani kafanyaje, nani kaambiwa nn na bosi, mkutano leo ulikuwaje, na sometime hata siri za ofisi au mikakati ya ofisi yetu namtaarifu nikijua ni maongezi tu looh. Sijui anakuwa anachoka kusikiliza au hapendi tena sauti yangu yaani utakuta unaongea in btw hata hujamaliza anaongeza sauti ya redio like ninyamaze. Unakaa kimya baada ya muda unaanzisha story ingine heee! unashangaa anakuuliza kitu kingine tofauti labda nilikuwa nasimulia kuhusu habari ya watoto utasikia tuu wale mafundi walimaliza jana uliwalipa hela yao yote looh! nachokaje?
Baada ya kuona shida inazidi na sipati nafasi nzuri ya kusikilizwa nikaona bora nikae kimya na tuwe wote mabubu njia nzima toka mjini hadi home yaani napata shida.
SWALI;- Hivi kwa nini wanaume hampendi kusikiliza masimulizi ya wake zenu? hii hata kijana mmoja hapa ofisini nilishamsikia akiongea kwamba kunarafiki yake ameoa mwaka jana ila ukifika muda wa kwenda kwake hatamani coz anawaza jinsi ya kusikiliza story za mke wake za siku nzima na mkewe huyo anataka mumewe amsikilize hadi amalize. To me huyu kijana anaboreka na hizi story na amechoka kuzisikiliza, sasa kwa nini nyie wanaume msiwaambie wazi wake zenu kwamba usipige story zako za kutwa nzima? au mwambie kwa upole tu pls nimechoka leo naomba tuongee asubuhi au hata ukamwambia nasikia kichwa kinauma reserve the rest for tomorrow huyu mwanamke atakuwa in good place ya kukuelewa that u need a space ila isiwe kila siku. A u hata ukamsikiliza tu then akimaliza yule mwanamke anafurah basi na wewe unaendelea na mambo yako. Naomba niwaibie siri nyie wanaume...,
Sikilizeni wake zenu, hii ni kitu ndogo na ya kijinga but ni kubwa na ya muhimu sana hasa kwa wanawake yaani kama mm hapa naugulia coz sisikilizwi story zangu naishia kujikuta naongea mwenyewe na mbaya zaidi kunawakati anakwambia njoo tuongelee kitandani wakati wa kulala akishapata tunda lake ukirudi kuoga unamkuta anakoroma sometimes unamkuta macho but unaanza story ukijastuka mwenzio alishalala saa nyingi, inaudhi kweli muwe mnatuambia kwamba usiongee baby ninausingizi sana.
Mie napenda sana kuimba hata sometimes unaskia kero kumuimbia coz ukiimba anaona kama unampigia kelele yaani wanaume naomba mnisaidie shida ni nini?
Hampendi story? je ni story za kipuuzi? mbona hamsemi? maudhiiiiiiiiii??
Ever remaining,
Sakapal