Hahahahaha... Finally nimemaliza... Sasa tutaenda sambamba.... dadalake don't forget to tag us as usual... Ila mi pia nimepata doubt peny kudondokea kwa papaa sio kwa bumbuwazi Ile naivi keshaambiwa papaa ana mtwangio heheheeeeee.......mitwangio haitamuacha mtu salama akiii Let's wait
Hahahahaha... Finally nimemaliza... Sasa tutaenda sambamba.... dadalake don't forget to tag us as usual... Ila mi pia nimepata doubt peny kudondokea kwa papaa sio kwa bumbuwazi Ile naivi keshaambiwa papaa ana mtwangio heheheeeeee....... Let's wait
hahahaha pastor handsome alafu anadyudyu laaja chezea pastor nini lazima ukae nabado unakadi yake yaATM naamekwambia hiyo nimoja2 ila anazo kadi zabenk nyingine mbili lazima udenda utoke nausiseme ukanimalizia uhondo wakesho
Mmmm lazima Papaa akuibukie R chuga huko.. Atawakuta na wajina wako atawaramba nyote hotelini.... Ila tangu story ianze sijaona Mahali Money Penny ameuchezea.... Labda safari hiii itakuwa table for 3 na Papaa muchungaji fekero...