Story: Kwanini Upo Single?!

Story: Kwanini Upo Single?!

Zamani nilidhani wewe na Lara1 ni mtu mmoja...

Baada ya kuwafahamu kumbe ni watu waili tofauti kabisa...

Ila Mwelu kafanana na vijitabia vyako...


Cc: mahondaw
Hahaha
Usijali kama ulinifananishaga na Lara1 hata baadae hadithi ikiisha hautanifananisha na Mwelu tena
 
Hahaha
Usijali kama ulinifananishaga na Lara1 hata baadae hadithi ikiisha hautanifananisha na Mwelu tena

Ni vile tu wote mnaanda makala na kuandika hadithi...

Wote akili zenu mnazijua wenyewe...

Wote mnamaneno mengi sana na watukutu...

Ila in other hand, personal wote ni wapole sana...

Kwenye hadithi yako umesema mimi ukimaanisha wewe Money Penny kama ndiyo Mwelu...


Cc: mahondaw
 
Mahusiano yanachosha. nipo likizo japo kuwa muda mwingine na miss vitu flan flan vya kwenye mahusiano.
 
Ni vile tu wote mnaanda makala na kuandika hadithi...

Wote akili zenu mnazijua wenyewe...

Wote mnamaneno mengi sana na watukutu...

Ila in other hand, personal wote ni wapole sana...

Kwenye hadithi yako umesema mimi ukimaanisha wewe Money Penny kama ndiyo Mwelu...


Cc: mahondaw
Mimi nikimaanisha mtoa hadithi
Ukimaendelea mbele utaona Mimi amejisema anaitwa Nani

Acha kupanic Bro
Wapole umetupima?!
 
Tazizo ni vizinga shemela ningekuwa nimeoa kitambo tu, yaan nikianza tu kutoka na demu flan anakugeuza ATM ya NMB, na mimi nikiona hivyo navunja ile rekodi ya Bolt aliyoweka kwenye Olmpiki, sina mke na sitaki demu wacha nikomae na vya kununua
Shemela tohara ulipataga ulipokuwa mdogo au?!
 
Za Leo
Najua nimepotea sana ila nipo

Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!

Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!

Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc

Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single

Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!

Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii

Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..

Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!


wa kumuoa sijapata
 
Back
Top Bottom