Story: Kwanini Upo Single?!

Story: Kwanini Upo Single?!

Hichi kitu mm kinanitesa sana, najikuta nakosa sana confidence na magirl...

Kuna demu ashawahi kuja geto kwangu akaleta kaugumu gulan cha kuvua chupi na mm kifosi huwa siwezi..

Baada ya kuondoka kwenye sm na muuliza kwann umeninyima? Kajibu ww ni mwanaume ilibidi utumie uwanaume wako chimban..

Hahaha a
Pole
Umekuwa kama KOKU
MSOME PAGE YA 6
 
Hahahahaa hahahahaa
Ukaleta habari za uboizini?!!

Daah kuna manzi nilikuwa naye chuo akawa ananiwekea pozi siyo!.
Sasa kuna siku akaja ghetto

Kufika nikaona anaanza kujifunua funua
Nikasema isiwe taabu nikamfunika Na kumtoa nje!.
Aseeee alishangaa Sanaa!.
Nadhan upumbavu wa garl kuambizana
C akawaambia wenzake daah.
Ikawa kila siku napata ugeni wa garl
Hujampataga KOKU au?!
 
Honey @Money Penny hukosei!

Ukweli wa mahusiano ya kimapenzi ni kuridhishana kwenye shughuli yenyewe ya kuingiliana (intimacy act). Pesa ni sabuni tu, ama sukari kwenye keki.

Namna gani watu waridhishane kwa kutumia nyenzo walizonazo? Ndio utamu na uhondo wenyewe wa swali lako hili adhimu. Hukosei Honey @Money Penny.

Much love honey
Oh Sante sana Honey
Ila KOKU umemwelewa lkn?! MSOME KOKU page ya 6
 
Umenigusa sana, binafsi ni msomi nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya Comp sc chuo kikuu dar, miaka mitano nyuma na nakazi serikalin lakin nimekuwa mtu wa kuish maisha ya kuunga unga sana kwa wanawake, na hiyo yote ni kwasbbu ya kuchagua sana, dini ya ukatolik na kabila langu na pia elimu kuanzia dipo
Pole sana
Ila KOKU umemwelewa lkn kwenye Page ya 6 hapo,!
 
napenda sana kulala peke yangu,napenda sana kujiamlia mambo yangu pasi kumshirikisha mtu kinyume na kanuni za ndoa, sipendi mtu aharibu taratibu nilizojipangia ambazo kwazo zinaniliwaza, napenda space I mean kulala popote ninapojisikia bila kuulizwaulizwa ,kuishi na mtu mliyekua katika mazingira tofauti yanaka moyo

Kama ni kuoa itakua ni kutimiza taratibu lakini sio kwa kupenda kivile.
 
Mi niko single kwasababu nikisha kula utam naona zile kelele za nitumie hela zinanikera so natia block nazichanga pesa kwanza zikijaa narudi circle kwa dem mpyaaa
 
Back
Top Bottom