Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Kama kuna funzo tunalolipata kila mvua kubwa tunapoipata ni hili la maji ya mvua.
Tatizo kubwa huwa hatujifunzi somo hilo.
Tuna vichwa vigumu!
Mimi ni mhandisi, na najua fika kuwa Water has the right of way.
Maji ya mvua hatuna namna, tuyapishe tu.
Serikali haina mamlaka ya kushughulikia kikamilifu maji na mitaro ya maji ya mvua.
Na hii ni kuanzia kutunza mapito ya asili kisheria, kudesign mapito hayo na kuyafanyia matengenezo.
Kwa sasa mapito ya maji ya mvua hayalindwi kisheria.
Hakuna mamlaka ya kuyashughulikia kama TANROADS, TARURA au hata kwenye Halmashauri zetu.
Kitengo kidogo kwa mfano DSM chenye mhandisi mmoja au wawili kwenye taasisi zetu zote is all we can do.
Tunajenga mabarabara mazuri kwa gharama kubwa lakini ikija mvua kubwa, maji yanazoa kila kitu bila kuacha ushahidi.
TUJIFUNZE, TUJIFUNZE, TUJIFUNZE.
Water has the right of way!
Tatizo kubwa huwa hatujifunzi somo hilo.
Tuna vichwa vigumu!
Mimi ni mhandisi, na najua fika kuwa Water has the right of way.
Maji ya mvua hatuna namna, tuyapishe tu.
Serikali haina mamlaka ya kushughulikia kikamilifu maji na mitaro ya maji ya mvua.
Na hii ni kuanzia kutunza mapito ya asili kisheria, kudesign mapito hayo na kuyafanyia matengenezo.
Kwa sasa mapito ya maji ya mvua hayalindwi kisheria.
Hakuna mamlaka ya kuyashughulikia kama TANROADS, TARURA au hata kwenye Halmashauri zetu.
Kitengo kidogo kwa mfano DSM chenye mhandisi mmoja au wawili kwenye taasisi zetu zote is all we can do.
Tunajenga mabarabara mazuri kwa gharama kubwa lakini ikija mvua kubwa, maji yanazoa kila kitu bila kuacha ushahidi.
TUJIFUNZE, TUJIFUNZE, TUJIFUNZE.
Water has the right of way!