Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,670
- 15,247
Pole Sana baba JackyShunie, my Jacky na wengineo, kwanza naomba samahani sana maana mmenivumilia tangu Jumatano nilipoingia humu mara ya mwisho, sijaweza tena kuingia kwa kuwa nilivamiwa na nimeumizwa vibaya, siku zote hizi nilikuwa hospitali ila hivi sasa nimetafuta kila njia niweze kuwajulisha lakini bado sipo vizuri. Nawashukuru kwa kunivumilia, endeleeni hivyo hivyo natumaini baada ya siku mbili au tatu tutakuwa pamoja katika kizungumkuti...
Cc the_legend Norshad bobefu zoefu Pablo PAKAYA Ibney blackstarline Bryece Tater, Bigjahman moneytalk marybaby, nipo2, ram, kisukari, Smart911, Madame S, carbamazepine, Astelia, culture gal , Prisoner of hope, kuku mweus, Thad, hearly, Shunie, moneytalk,Tumosa, Mine eyes, Kudo, swahiba92, ludist, Toyota escudo, Clkey, macson3, Thad, boga la kiangazi, macson3, Smart911, Richard irakunda, skfull, popie, Krizy Beat, hearly nipo2 MWINDAJI HARAMU kakhulu Katavi Norami mbududa iron2012 popie Bughy Harry Kinondoni Sweetheart SUPER EMILY HALELUYA MOSHI Clkey