Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

He he he he he he. Asanteeeee slim5 kaka wewe
 
Last edited by a moderator:
nimechelewa sijaona part VI

Ipo na imeunganishwa kwenye zile nyingine za mwanzo...

In fwakti part IV haijaandikwa katika mtiririko wa stori yenyewe lakini stori imekaa vizuri kimtiririko hakuna tukio lililorukwa...

Hapa nasubiria ni part gani slim5 atakula tunda, naona kama tunaelekea huko sasa :A S 11:
 
Last edited by a moderator:
Kaka jamaa washanogewa na hii stori, kila mara nawazingua kuwa kichwa kinauma nitwapa mzigo kikitulia...

Pole sana, ngoja nione uwezekano wa kutupia mzigo wote kesho! watu8
 
Last edited by a moderator:
Ipo na imeunganishwa kwenye zile nyingine za mwanzo...

In fwakti part IV haijaandikwa katika mtiririko wa stori yenyewe lakini stori imekaa vizuri kimtiririko hakuna tukio lililorukwa...

Hapa nasubiria ni part gani slim5 atakula tunda, naona kama tunaelekea huko sasa :A S 11:

wee mkareeee, watu8
 
Last edited by a moderator:
mkuu!! hii ki2 baab kubwa lete ratiba nzima ya uzi, najua ni kazi ngumu kuandika ila tupe ratiba sikotayari kui miss :A S-eek:
 
Ipo na imeunganishwa kwenye zile nyingine za mwanzo...

In fwakti part IV haijaandikwa katika mtiririko wa stori yenyewe lakini stori imekaa vizuri kimtiririko hakuna tukio lililorukwa...

Hapa nasubiria ni part gani slim5 atakula tunda, naona kama tunaelekea huko sasa :A S 11:

hahaha ndo anakwea mti taratibu tunda lazima ale
 
Last edited by a moderator:
Pole sana, ngoja nione uwezekano wa kutupia mzigo wote kesho! watu8
Mimi hapa ofisin watu wananifuata karibu wote hawajajua kama hii ki2 nimeitoa huku tupia mzigo niwe hero huku ila nita ku acknowledge nikimaliza..
 
Afu we slim5
Ujue unavofanya siyo vizuri!!!!
 
Last edited by a moderator:
Haka kastor kapeleke hadi kwn kugegedana utaona utakavyopata wadau wng.Yan "dada mtu akanibeba kwny gar yk mpaka kwake.Ndani xma muda mfupi nikagundua hana mume,nikaletewa msosi.Dada mtu hakukaa mbali nami kwani tulikaa kwny kochi moja.Maongez yalikuwa mengi na hakuogopa kunigusa bega.
Mara akaupandisha mguu wake kwny paja langu,na akauliza unaogopa? pia akajijibu usiniogope u ar the gentleman bwana tena upo strong mpaka umemwokoa mdogo wng!!Sogea nikwambie kitu..........ITAENDELEA

Hahahaha wacha kutuchuza!!!!
 
Back
Top Bottom