Yani ni nzuri sana......embu malizia bas
Mkuu watu8 hebu nisaidie, hapo kijiweni kwako unatumia delivery mode ipi? unawakusanya ama? hebu nisaidie kamanda!
Hiki ni kijiwe cha kila siku mkuu, huwa tunakiita redio mbao...
Watu huja kwa muda wao na wakati wote watu hawakosi...
Ukiwa hapa utapata habari za Ikulu, stori za kina Wema Sepetu, stori za majirani n.k...
Halafu ndugu Ally hiyo mchana si iwe sasa hivi tu au!??
Hii story imehamishwa au mchana bado huku uliko slim5?