si ndio anajifunza?
Nalog off
Kuna mtu kaniambia watu wa hivyo wanapenda sana "mambo yetu yale"
si ndio anajifunza?
Nalog off
kumbe ndivyo ilivyo?mie nikajua ndio anauanza huu mchezo.'tayari ameshajifunza bwana hapo anakumbukia tu bwana.................wee kubwa zima lote hilo ndo lijifunze saa hizi,huyo tayari kabisa asee hapo anajikumbusha tu mkuu'