Stop mijadala kuhusu gesi

Stop mijadala kuhusu gesi

Sina Hasira Mkuu bali hali halisi n kwamba watu watapoteza uhai bila ya Serikali kujali hvyo tutapoteza ndugu zetu,wake zetu,waume zetu hivyo tuonyeshe Ukomavu na kuachana na suala la Gesi na tutizame tu watakavyofanya kisha rungu letu tulihamishie 2015 hawa hawasikii chochote na hakuna huruma hapa.

Mkuu,

Inaonekana una mengi ya kusema na uliyoona....kama serikali inaendelea kuua raia wake sema. Nimepitia maelezo yako inavyoonekana taarifa tunazopata si kamili. Pls keep records kama kuna mass killings....

Kama wanadiriki kufanya hivi sasa sidhani kama kura wataruhusu zipigwe kwa amani. JK alisha sema hakabidhi nchi kwa wapinzani...ili walishafanya zanzibar and they will attempt to do it in Bara.
 
La udini linapiga jaramba

N'yoo !! eti leo wanajidai kuwajua wa Mtwara, Mulikuwa wapi zamani Tangu enzi za juliasi Mtwara tanga lindi nk. zimesahauliwa na kupuuzwa...!! looh tumetambua wengi mnafurahiya Lakini mnajitia kuhurumia- nyie waongo
mnasubiri muTak advantage tu na muzidi kukandamiza.... U are wll knwon!!
 
mkuu unamaana gani?[/QUOTE
jioni njema EJ mosi, hapo kwakokwema?
Iko wazi kabisa siasa za kukandamizana zinafahamika, Wafahamu kuwa Mtwara,Tanga,Lindi ,kusini mwambao
hao walipuuzwa kwa miaka mingi sasa
Wengi wetu tulikuwa wapi? kutotambua hilo ? vipi sasa ma Sympathizer mmejitokeza kama jua la asubuhi na kubobesha
waendelee kupambana na DOLA au nguvu zaidi ya uwezo wao? Je mnataka wazidi kupata umasikini na Walemae na kupewa mkongoto na adabu ya maisha.... kama kweli ipo rai na nia njema Simuongozane ikulu !! Or elswhere!!
Tafadhali msiengeze petroli kwenye moto, kesho mtawafaraji vipi hao wahanga vilema.? nawasilisha God forbide
 
Mkuu nipo Mtwara ss,nilisafiri kikaz ndugu hata hiyo mbege sijaiona kitambo na acha kurukia mada mkuu. Lait ungeona hali halisi bas ungekubaliana nam kuwa mijadala inazidisha Munkari na fujo zaid hasa akija mkubwa hapa jf na kucomment chochote hvyo tuwe wazalendo nduguzangu.

umetumwa kumkama nani huko?inaonekana mko wengi huko,waambie CCM wajenge power plant Mtwara wasafirishe umeme
 
Back
Top Bottom