Ni kiswahili Mahalia, yaani kiswahili kinachotumika katika sehemu fulani na kinaeleweka na watu wengi katika sehemu hiyo. Wazanzibari hutamka skuli, watu wa bara wanasema shule. Kwa upande wa visiwani neno hilo limetoholewa toka kwa Waingereza. Huku Bara neno shule limetoholewa toka Kijerumani. Je neno sahihi ni lipi, Skuli au Shule?