Stima au umeme? Lipi na sahihi zaidi?

Kama kikitumika Kiswahili neno sahihi ni umeme.

Stima ni lugha chotara yenye kuleta uchochezi
 
Ni kiswahili Mahalia, yaani kiswahili kinachotumika katika sehemu fulani na kinaeleweka na watu wengi katika sehemu hiyo. Wazanzibari hutamka skuli, watu wa bara wanasema shule. Kwa upande wa visiwani neno hilo limetoholewa toka kwa Waingereza. Huku Bara neno shule limetoholewa toka Kijerumani. Je neno sahihi ni lipi, Skuli au Shule?
 
Kwa muda mrefu mvuke(steam) ulitumika kuzalisha umeme, hivyo kupatikana jina stima. Kuuita stima ni sahihi zaidi kwani asili yake inajulikana. Umeme sijui limetoholewa wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom