Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 947
- 1,678
HahahahahaaAahha...watu hawataizoea aisee hiyo sanami
HahahahahaaAahha...watu hawataizoea aisee hiyo sanami
Umenikumbusha zile photoshop 2015 hahahaIna tumbo kubwa na kibamia
Hahaaaaaa........ 😆 😁Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani katika serikali za awamu zilizopita, Stephen Wassira amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini mkoani Mara.
Habari Star TV Tanzania
Sasa ni rasmi GENTAMYCINE naanza Kuamini kuwa huenda Wanadamu wengine Maulana / Mola alivyowaumba hakuwawekea Mishipa ya Aibu.
Wassira ni shida!!
HahaaaaWassira haaa.. Msikilize Makongoro Nyerere hapa ucheke