Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,441
Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
Umenikumbusha ile clip yA Makongoro Nyerere "YUPO"Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa wadogo shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…
' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Umenikumbusha ile clip yA Makongoro Nyerere "YUPO"
Ha ha ha!Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
Huyu Magu hawezi mpitisha. Akagombee Ukonga na mtoto wa kaka yake, Wakazi.Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Mwache aendelee kujiongezea sifa za kushindwa na mwanamke.Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Tatizo la Wasira ni njaa, kale ka pensheni kake anaona hakamtoshi maana nasikia ana watoto hadi sasa wengine bado wananyonya.mazee kama hayo ndio jiwe anatakiwa kuyakata mapema.
Tatizo ni njaa inamfanya awe na mawazo ya kutaka ubungeKashachoka
Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…
' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Alafu hiyo sanamu itaonekanaje kwa mfano?Huyu mzee ajengewe sanamu
Maskini mzee wa watu,akili zimeanza kumwishia.