Uchaguzi 2020 Steven Wassira atangaza kugombea ubunge Jimbo la Bunda, Adai 2015 aliibiwa kura

Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…


' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
 
Mkuu ungemsaidia sana kimawazo kabla hajaingia kwenye huo mtanange.
Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…


' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
 
Back
Top Bottom