Namkumbuka sana, alikua mbunge wa jimbo la Kalenga ambalo lipo Iringa vijijini mpaka 2010 baada ya kudondoshwa na Dr. William Mgimwa kwenye kura za maoni mwaka 2010!!
RIP Mzee Galinoma
poleni wafiwa, huyu pia si alikuwa mbunge 95-00? si ndio baba wa yule muimba regae? sikumbuki kama niliwahi kumuona but miaka hiyo nikiwa TOSAMAGANGA alikuwa mbunge... poleni wakazi wa kalenga
poleni wafiwa, huyu pia si alikuwa mbunge 95-00? si ndio baba wa yule muimba regae? sikumbuki kama niliwahi kumuona but miaka hiyo nikiwa TOSAMAGANGA alikuwa mbunge... poleni wakazi wa kalenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.