Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
Kwenye hii picha anaonekana na mkewe(now x-wife), Kai Millad Morris wakitembea wameshikana mikono. Kinachonishangaza Steve, ambaye ni kipofu mbona katangulia mbele?
Kwenye hii picha anaonekana na mkewe(now x-wife), Kai Millad Morris wakitembea wameshikana mikono. Kinachonishangaza Steve, ambaye ni kipofu mbona katangulia mbele?
Karibu Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa Lushoto Tanga. Ujifunze, ushangae na kujionea haya ya Steve na mengi mengine ya ndugu zetu wenye ulemavu. Disability is not inability....so we believe!
Nimependa bandiko lako na pengine maneno uliyoyatumia ndio maneno muafaka.
Lakini kwa mtazamo wangu sisi tunaojiita "SIO WALEMAVU (not disabled)" ndio walemavu wakubwa sana.
Sisi "tusio walemavu" mara nyingi hatukumbuki sauti za watu, hatujui kuna ngazi ngapi mpaka mlangoni, hatukumbuki harufu za watu au vitu, nk.
Watu wanapaswa kuelimisha tu. Itachukua muda lakini tutafika.
Steve kweli ni lipofu..mke gani sasa huyo.!!
Karibu Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa Lushoto Tanga. Ujifunze, ushangae na kujionea haya ya Steve na mengi mengine ya ndugu zetu wenye ulemavu. Disability is not inability....so we believe!
Nimependa bandiko lako na pengine maneno uliyoyatumia ndio maneno muafaka.
Lakini kwa mtazamo wangu sisi tunaojiita "SIO WALEMAVU (not disabled)" ndio walemavu wakubwa sana.
Sisi "tusio walemavu" mara nyingi hatukumbuki sauti za watu, hatujui kuna ngazi ngapi mpaka mlangoni, hatukumbuki harufu za watu au vitu, nk.
Watu wanapaswa kuelimisha tu. Itachukua muda lakini tutafika.
Na wako very brilliant mi nilifundishwa na Mwalimu pale iyunga ni kipofu yuko nondo balaa yaani kipindi chake kilikuwa kitamu sana .Mkuu nakusoma vizuri sana
Nilisoma Mkwawa High School na jamaa vipofu....njia zote walikuwa wanazifahamu....bwenini kwemda chumba chenye vifaa vyao maalum, kwenye chakula, madarasani e.t.c.....
Niliingia chumba cha vifaa vyao maalum kwa mara ya kwanza nikajitambulisha ma kuwasalimu nikaondoka....after 3 days nikapishana nao eneo la assembly na kuwasalimu wakaniambia aah wewe ni *** uliekuja juzi kwetu.....and I was shocked maana hawakukosea wakati mimi nilishasahau majina yao
These people are amazing aisee
Na wako very brilliant mi nilifundishwa na Mwalimu pale iyunga ni kipofu yuko nondo balaa yaani kipindi chake kilikuwa kitamu sana .
Saivi nafanya kazi na jamaa mmoja yuko safi sana .
Jamaa wana talents
Na pengine vichaa ndo wana akili na maono kuliko hata maprofesa! Nenda kasome novela za Kezilahabi Nagona na Mzingile utapata fununu ya ninachojaribu kukisema. Tunajifanya tunaona kumbe ndo tunaongoza kwa upofu na tunaowaita wajinga ndo wenye maarifa yanayoishi. Karibu kila kitu ni kinyume!Nimependa bandiko lako na pengine maneno uliyoyatumia ndio maneno muafaka.
Lakini kwa mtazamo wangu sisi tunaojiita "SIO WALEMAVU (not disabled)" ndio walemavu wakubwa sana.
Sisi "tusio walemavu" mara nyingi hatukumbuki sauti za watu, hatujui kuna ngazi ngapi mpaka mlangoni, hatukumbuki harufu za watu au vitu, nk.
Watu wanapaswa kuelimisha tu. Itachukua muda lakini tutafika.
Ndio.huyo huyo ni mzuri kuliko hao wanaoona yaani kipindi chake hautochoka kamwe.Mkuu yule mwalimu alikua anafundisha civics...Mungu ana maajabu yake..