Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,831
- 38,720
Wewe ni zombieSugu na Prof Jay ni wa kulaumu sana, yaani walivyopenya tu wakaingia mjengoni na kufanya siasa zao za kihuni basi bongo fleva na bongo movies zote zimeelekeza macho masikio na pua zao bungeni!!
it was a big mistake tume ya uchaguzi kuwapa viti!! sasa wahuni wote nao eti wanalitaka bunge kwakuwa kigezo chake ni kujua kusoma na kuandika tu,
what a backward country!!