Steve Jobs predicted Obama would be a one-term president

As much as am in love with his inverted IPad I don't believe that he should be taken seriously in political forecasting.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Kuwa Rais Marekni ni kazi! Huwezi compare na Africa. Sijafanya utafiti. Ila nadhani marais wa Africa waliomaliza terms zao kama ingaliwezekana wangevie for Presidency tena.Ila kwa Marekani si rahisi kufikiria..Kuanzia mchakato wote hadi ... Maoni yangu.
 
Hiyo ni mipango ya wazungu ya kumwangusha Obama. Ukweli ni kuwa sera za Obama za kiuchumi ni sera nzuri sana na ambazo zinashauriwa na wataalam wa uchumi. Ili Marekani ijikwamue lazima iongeze kodi kwa wafanyabiashara na kupunguza kodi kwa watu wa chini ili kuwapa uwezo wa kununua utakaochepua uchumi.
Tatizo ni kuwa republicans wakijua kuwa hilo litafanikiwa hawataki hiyo credit kuanguka mikononi mwa Obama hivo kwa kutumia congress ambako wana idadi kubwa kwa sasa kuangusha kila muswada ambao ungekwamua uchumi na kuongeza ajira.
Kitu kingine ambacho wamarekani lazima wapambane nacho ni currency pegging ya wachina wanaodevaluate pesa yao Yuan ili bidhaa zao ziwe na bei nafuu. Wasiangalie uso makampuni makubwa yanayozalisha China ambao wanahofia China kuretalliate. Bidhaa za China ziwekewe vikwazo kwa viwango wanavochezea fedha zao ili kuweka balance of trade. Hii itasaidia uwekezaji wa ndani ambao itazalisha ajira.
Kwa mwendo unavoendelea wamarekani wana hasira na Obama lakini taratibu wanang‘amua mchawi wao ni Republicans wala si Obama.

Kaka sasa hiyo currency manipulation wanayoifanya wachina si ndio Mitt Romney wa Republican analia nayo akimlaumu obama kwamba amekua soft mno kwa wachina akiwabembeleza?Romney yeye anasema hakuna haja ya kuwa na business partner kama china ambae yeye anawauzia wao tu lakini wao kuuza kwake inakua very expensive cuz wachina wanacheza sana na currency yao ili ku promote export...obama tunampenda ndio,mweusi mwenzetu sawa,very honest mana haina ubishi but amefeli in a very important issue kwa wamarekani ambayo ni uchumi japo amepata big victory kwenye foreign policy kufuatia kuuawawa kwa osama,yule myemeni american hapa juzi na hii ya ghadafi jana but hizo sio determinants za kushinda uchaguzi wa us...issue sasa ni jobs jobs jobs!!
 
Obama anaangushwa na Republicans ambao kwa makusudi wanakataa kupitisha miswada yake ya utaratibu wa kodi na kutengeneza ajira. Republicans wanakumbatia mabepari hivyo hawataki kuona kodi inaongezwa kwa matajiri. Pia wanamchelewesha ili ikifika mwakani wapate sababu ya kumshtaki kwa wananchi kuwa hajafanya kitu. Lakini hatahivyo bado wanahangaika kumtafuta mgombea mzuri wa urais baada ya Sarah Paliin kujitoa kitu ambacho kinai-favour Democrats.

Tatizo la Republicans pamoja na udhaifu wote wa obama anaweza kuwashinda kwa kuwa mpaka sasa katika hawa waliojitokeza kuanzia Rick Perry,Mitt Romney,mama Michelle Buchman,Jan Huntsman,Mweusi Herman Cain,babu Ron Paul na wengine wanaonekana wameshindwa kukidhi haja,wao walimtegemea zaidi gavana wa New Jersey bonge Chris Christie kwamba atajitokeza lakini amechomoa licha ya kubembelezwa sana,sarah pallin wanamuona ni risk kumuweka pale mbele kwa kuwa alionyesha upeo mdogo sana hasa wa sera ya nje ya marekani alipoonyesha hajui hara urusi ilipo wakati wa uchaguzi uliopita.
 
Obama siyo mweusi mwenzenu. Obama ni chotara! Machotara siyo weusi. Au hamjui kuwa mama yake mzazi ni mzungu?
 
tatizo la Obama ni moja tu........TIMOTH GEITHNER
angemweka hapo Larry haya yote yasingetokea

Kaka tatizo wamarekani wanataka kazi sio kuuza maneno na sura,Larry angefanya nini kuwarudisha watu kazini?!!!Obama tatizo lake ni kama la jk,muuza sura tu,kil mtu anajua sio yeye aliye create tatizo lililopo but is the one who is responsible to fix it...sasa yeye instead of fixing the preblem he continue to play a blamming game,republican wale ni wapinzani unategemea wakupe favor wewe wakati na wao wanataka kuingia white house!!!
 
Obama siyo mweusi mwenzenu. Obama ni chotara! Machotara siyo weusi. Au hamjui kuwa mama yake mzazi ni mzungu?

Na republicans walivyo wahuni sasa wanampromote Herma Cain mweusi tii kama sisi ili kuwachanganya african american(black)ambao wengi huwa na kawaida ya kuipigia kura democrats,huwezi kuamini eti muuza pizza Herman Cain ndio anaongoza kura za maoni za wagombea wa republican so far licha ya missteps kibao na hiyo 9-9-9 yake,leo baada ya kukaliwa kooni na hiyo tax plan yake kaibadili sasa imekua sio nine- nine- nine tena bali 9-0-9!!!!!
 
Na republicans walivyo wahuni sasa wanampromote Herma Cain mweusi tii kama sisi ili kuwachanganya african american(black)ambao wengi huwa na kawaida ya kuipigia kura democrats,huwezi kuamini eti muuza pizza Herman Cain ndio anaongoza kura za maoni za wagombea wa republican so far licha ya missteps kibao na hiyo 9-9-9 yake,leo baada ya kukaliwa kooni na hiyo tax plan yake kaibadili sasa imekua sio nine- nine- nine tena bali 9-0-9!!!!!

Missteps ni kawaida. Hata Obama anazo nyingi tu. Kwa ufupi, ukitaka raisi mtimilifu ni kwamba hayupo.
 
Why couldn't he predict his life?

Ww nawe umetokea wapi? Kwani unafikiri watu wanajadili utabiri watunguri hapa? Hebu acheni kufira mijadala kama huna cha kuchangia peruzi tu msizirefushe post ilimradi!
 
The Apple CEO warned Obama he wasn't going to win re-election.

Warning = predicting? Rekebisha heading ya thread/inapotosha. Hakutabiri
 
tatizo la Obama ni moja tu........TIMOTH GEITHNER
angemweka hapo Larry haya yote yasingetokea
Mtakuwa mnamuonea tu TIMOTH GEITHNER, mimi sioni tatizo la huyu Treasury, huyu mtu anajaribu kuzi-shape visions na strategies za Obama ile zipate umbo na kuvutia mbele za watu, so chanzo ni Obama. Republicans are playing their parts ili kuhakikisha nchi inasendelea kusimama na kusonga mbele, baada ya kugundua wapi panaweza kutumiwa kamauzaifu wakajiimarisha na sasa nao wanataka sera zao ziwe practised na siyo wapelekwepelekwe tu, that was brainy na ndiyo siasa tunazizihitajia hata sisi katika nchi zetu hizi.
 
Back
Top Bottom